naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
- Thread starter
- #21
Mkuu elezea kidogo interview za uwa zipo kwenye mfumo gani maana dogo kaambiwa aende na peni+passport sizeNdio staili yao hyo huwa hawasemi position waliyokuitia.
Ila kwa Engineers wenye degree huwa salary yao inacheza arround 1.2M ila sijajua watu wa ofisini wanalipwaje.