naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
Habarini za jioni hii wana JF
Nimeitwa kwenye interview na hiyo kampuni
Naombeni kujua machache kuhusu hiyo kampuni ili kunijenga kiushawishi kwenye interview kwa position ya 'Tracking Officer'
1. Maswali gani ya kujua kwenye hiyo position kulingana na kampuni husika?
2. Mshahara wao upoje kwenye iyo position?
3. Na mengineyo ya nyongeza kama yapo!
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa
Asanteni na karibuni
Nimeitwa kwenye interview na hiyo kampuni
Naombeni kujua machache kuhusu hiyo kampuni ili kunijenga kiushawishi kwenye interview kwa position ya 'Tracking Officer'
1. Maswali gani ya kujua kwenye hiyo position kulingana na kampuni husika?
2. Mshahara wao upoje kwenye iyo position?
3. Na mengineyo ya nyongeza kama yapo!
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa
Asanteni na karibuni