Anayebeza haya maendeleo basi hana nia njema na nchi yetu.

Bora wewe umekubali kuwa kuna mabaya mlio yafanya tena mengi sana! Sababu ukilinga nisha hayo maendeleo na miaka 50 ya uhuru ni vitu viwili tofauti.

Lakini mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni mimi na kubali kuna maendeleo yaliyo fanywa nami na shukuru kwa hilo mfano huu mpango wa kupunguza folleni jijini.

Lakini tufikie wakati tukubali chama chenu kimezeeka na ni wakati wa chama hiki kupumzika maana maendeleo hayaendani kabisa na ahadi za hiki chama toka tupate uhuru.

Kwa hiyo naomba mukubali kupumzika kwa amani tuu mwaka 2015 ukifika, tuna washukuru sna lakini pumzikeni mmechoka!

Mtu mwenye akili timamu kabisa atajua kwa sasa maendeleo yanasonga mbele. laikini mtu mshabiki wa chama fulani hata ufanyeje atashabikia chama chake tu.

Ifike mahali tukubali kama serikali imefanya kitu kizuri. Yapo mabaya sawa lakini kwenye mazuri tuwasifu.
Wewe ukiwa mtu wa kulaum laumu kila wakati baadaye utaonekana mjinga, watu watakuzoea.

Viongozi wetu wanahitaji pongezi. Wewe unayebeza haya maendeleo nadhani hutakii mema nchi yetu. au wewe sio mtanzania unalengo lako binafsi.
 
Nadhani hizo project zina link hapo juu hebu bofya tu project moja moja na utaziona vizuri maana zinajieleza. Poa?

I saw you doing precisely that! Next time jipange kabla hujaleta utumbo wako hapa. Unadhani kila mtu ni m.p.u.mbavu hapa? Miradi iliyoombewa fedha kwa wafadhili enzi ya awamu ya pili ndio hiyo unayodai viongozi wako wameamka kuitekeleza leo? Ujinga huu peleka kwenye vikao vyenu vyenye wajumbe kina komba na yule mama mwimba taarabu.

Kwa hiyo kwako wewe mwanaume mwenzio akikutunzia familia yako utaona kuwa hayo ni maendeleo ya wewe kujisifia?
 
dada anal salama lakini? maendeleo ya kulazimisha haya sio yenyewe. kumbuka chema chajiuza, kibaya...
 
wamejenga barabara km 3000 kwa tril 3 na kulifikisha deni la taifa tril 15 siku hiyo miradi ya tril 2 ikikamilika pamoja na kutumia pesa zetu za nssf deni la taifa litafikia tril 30.

hicho ndicho unataka tusifie maendeleo?
 
Anayebeza haya maendeleo basi hana nia njema na nchi yetu.
Kwa hakika nchi yetu imeanza kujikwamua tena kwa kasi sasa. Nataraji mda si mrefu nchi yetu itakuwa na maendeleo makubwa.
Nimekuwa nikijionea kwa macho yangu jinsi miradi mbalimbali hapa nchini inavyoenda kwa kasi. Hii ni dalili tosha kabisa kwamba viongozi wetu wameamka kutoka katika usingizi waliokuwa nao.

Nitajaribu kutaja baadthi ya miradi inayoendelea hapa nchini na italeta chachu kubwa sana ya maendeleo.

1. Ujenzi wa Hospitali ya kimataifa: Huu ni mradi ambao tayari umekwisha kuanza. Hospitali hiyo itajengwa maeneo ya kisarawe ambayo itakuwa na kiwanja cha ndege. vilevile kutakuwepo na chuo cha madaktari, wauguzi na wafamasia. Hospitali hiyo itarajiwa kumalizika mwaka 2014. Msijisumbue kuongeza idadi ya madaktari wakati hawa waliopo mnashindwa kuwalipa. Vifaa mtapata wapi wakati zilizopo zinawashinda? Ndege ya nini wakati ambyulensi tu bado mgogoro, unajua gharama zake? sasa mlalahoi ataweza kukodi ndege? Labda iwe kwa ajili yenu wenyewe.

2. Ujenzi wa daraja la kigamboni: Huu mradi tayari umeshafunguliwa na tayari sasa daraja kwaajiri ya kuwasaidia wajenzi limeshawekwa. ni matumaini yangu mda si mrefu ujenzi wa daraja hilo utaanza. Hili daraja mmewadhulumu wafanyakazi mafao yao kwa kuweka pingamizi wasipate pesa yao kabla ya kufika umri wa miaka 60. Hivi umri wa maisha ya mtanzania ni miaka mingapi? hivi hata picha mnashindwa kuelewa?

3. Mabasi yaendayo kwa kasi: Katika kutatua tatiza la foleni kwa wenyeji wa dar es salaam nadhani wanajionea wenyewe jinsi shughuli za ujenzi wa njia za mabasi yaendayo kwa kasi inavyo enda kwa kasi. Hivi ni kasi kiasi gani mnayazungumzia? Kutoka Mbagala hadi Kariakoo yatachukua muda gani? Halafu familia zenu zikiwa zinapita hayatazuiwa kama ilivyosasa?

4. Upanuzi wa barabara mbalimbali: Kila mmoja mwenye macho anaona jinsi miradi ya ujenzi na upanuzi wa barabara zetu unavyo enda kwa kasi. Hizi barabara zipo wapi? huku kwetu Chunya tunapolima pamba hatuzioni mzee

5. Kupitiwa kwa mikataba mbalimbali: Mikataba mbalimbali ambayo ni mibovu inapitiwa na kurekebishwa. Mikataba ya madini na na mingine mingi tu. Tuanze ni mkataba unaotutesa kila siku huu wa Richmond/Dowans hatutaki longolongo

6. Kuwa na umeme wa kudumu: Ujenzi wa bomba la gesi abao kwa uhakika utaondoa kabisa tatizo la umeme nchini. Hii gesi itatumika mbadala wa umeme? au mtajenga mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi? na bei ya gesi yenyewe ikoje? Je bei ya umeme mumeiangalia? au mmejiangalia wenyewe uwezo wenu?

7. Reli ya tazara: Ukarabati wa reli ya tazara utarahisisha usafiri wa watu waendao kusini mwa tanzania tayari sasa serikali ya Tanzania, Zambia na China wameshaanza utaratibu wa kuikarabati reli hiyo. Hivi mmewahi kujiuliza kwanini watu wengi wanatumia barabara badala ya hiyo reli? Siri ni kwamba gharama za usafirishaji kwa reli ni kubwa mno sababu yake ni ufisadi ndani ya mamlaka


Kwa hayo machache tu na mengine yapo mengi. Hii ni dalili tosha kabisa nchi yetu inapiga hatua kwa kasi.
Tutambue kuwa kuna nchi hawataki kuona nchi yetu ikiendelea maana itakapoendelea watakuwa hawana chao kwetu. KIna nani? Wataje kwa majina bila hivyo nitakuita mmbeya, muongo, kibaraka, fedhuli na mzandiki usiye na soni

Kwahiyo anayebeza maendeleo haya basi hana nia njema na nchi yetu.
 
Anayebeza haya maendeleo basi hana nia njema na nchi yetu.
Kwa hakika nchi yetu imeanza kujikwamua tena kwa kasi sasa. Nataraji mda si mrefu nchi yetu itakuwa na maendeleo makubwa.
Nimekuwa nikijionea kwa macho yangu jinsi miradi mbalimbali hapa nchini inavyoenda kwa kasi. Hii ni dalili tosha kabisa kwamba viongozi wetu wameamka kutoka katika usingizi waliokuwa nao.

Nitajaribu kutaja baadthi ya miradi inayoendelea hapa nchini na italeta chachu kubwa sana ya maendeleo.

1. Ujenzi wa Hospitali ya kimataifa: Huu ni mradi ambao tayari umekwisha kuanza. Hospitali hiyo itajengwa maeneo ya kisarawe ambayo itakuwa na kiwanja cha ndege. vilevile kutakuwepo na chuo cha madaktari, wauguzi na wafamasia. Hospitali hiyo itarajiwa kumalizika mwaka 2014. Msijisumbue kuongeza idadi ya madaktari wakati hawa waliopo mnashindwa kuwalipa. Vifaa mtapata wapi wakati zilizopo zinawashinda? Ndege ya nini wakati ambyulensi tu bado mgogoro, unajua gharama zake? sasa mlalahoi ataweza kukodi ndege? Labda iwe kwa ajili yenu wenyewe.

2. Ujenzi wa daraja la kigamboni: Huu mradi tayari umeshafunguliwa na tayari sasa daraja kwaajiri ya kuwasaidia wajenzi limeshawekwa. ni matumaini yangu mda si mrefu ujenzi wa daraja hilo utaanza. Hili daraja mmewadhulumu wafanyakazi mafao yao kwa kuweka pingamizi wasipate pesa yao kabla ya kufika umri wa miaka 60. Hivi umri wa maisha ya mtanzania ni miaka mingapi? hivi hata picha mnashindwa kuelewa?

3. Mabasi yaendayo kwa kasi: Katika kutatua tatiza la foleni kwa wenyeji wa dar es salaam nadhani wanajionea wenyewe jinsi shughuli za ujenzi wa njia za mabasi yaendayo kwa kasi inavyo enda kwa kasi. Hivi ni kasi kiasi gani mnayazungumzia? Kutoka Mbagala hadi Kariakoo yatachukua muda gani? Halafu familia zenu zikiwa zinapita hayatazuiwa kama ilivyosasa?

4. Upanuzi wa barabara mbalimbali: Kila mmoja mwenye macho anaona jinsi miradi ya ujenzi na upanuzi wa barabara zetu unavyo enda kwa kasi. Hizi barabara zipo wapi? huku kwetu Chunya tunapolima pamba hatuzioni mzee

5. Kupitiwa kwa mikataba mbalimbali: Mikataba mbalimbali ambayo ni mibovu inapitiwa na kurekebishwa. Mikataba ya madini na na mingine mingi tu. Tuanze ni mkataba unaotutesa kila siku huu wa Richmond/Dowans hatutaki longolongo

6. Kuwa na umeme wa kudumu: Ujenzi wa bomba la gesi abao kwa uhakika utaondoa kabisa tatizo la umeme nchini. Hii gesi itatumika mbadala wa umeme? au mtajenga mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi? na bei ya gesi yenyewe ikoje? Je bei ya umeme mumeiangalia? au mmejiangalia wenyewe uwezo wenu?

7. Reli ya tazara: Ukarabati wa reli ya tazara utarahisisha usafiri wa watu waendao kusini mwa tanzania tayari sasa serikali ya Tanzania, Zambia na China wameshaanza utaratibu wa kuikarabati reli hiyo. Hivi mmewahi kujiuliza kwanini watu wengi wanatumia barabara badala ya hiyo reli? Siri ni kwamba gharama za usafirishaji kwa reli ni kubwa mno sababu yake ni ufisadi ndani ya mamlaka


Kwa hayo machache tu na mengine yapo mengi. Hii ni dalili tosha kabisa nchi yetu inapiga hatua kwa kasi.
Tutambue kuwa kuna nchi hawataki kuona nchi yetu ikiendelea maana itakapoendelea watakuwa hawana chao kwetu. KIna nani? Wataje kwa majina bila hivyo nitakuita mmbeya, muongo, kibaraka, fedhuli na mzandiki usiye na soni

Kwahiyo anayebeza maendeleo haya basi hana nia njema na nchi yetu.

mkubwa mzima lakini mbea.
 
Mwenye macho haambiwi tazama nyie endeleeni kupiga kelele tu sisi tunaona serikali inavyojitahidi so rejeeni title ya thread yangu kuwa anayebeza hana nia njema na nchi yetu.

Siwezi kushangaa maana watu wamejaa chuki na ushabiki usiokuwa na kichwa wala mbele. Wamefunikwa uso wao usiweze kutambua lipi lililojema.

Lakini kwangu mimi ninaona serikali inajitahidi sana na wanastahili pongezi.
 
Ongeza na maendeleo mengine kama kuwa na viwanja vya ndege vibovu, kufa kwa shirika la ndege wakati wengine mashirika yanaimarika, wananchi kujichukulia hatua mikononi kila siku kwa watu wasiokuwa na hatia, polisi kuwa majambazi, migawo ya umeme ya kutengezwa, madarasa bila madawati n.k
 
Huyu jamaa ni kipofu. Hayo maendeleo unayodai ni sawa na baba kuuza ng'ombe sh. 1000000 na akarudi na kaptula na kanga za sh 10000, kisha unauliza hamuoni faida za kummuza ngo'mbe? Labda wewe ndo unakula sehemu nyingine ya mapaato yanayofisadiwa na mafisadi ndo maana unatetea sana.
 
kikwete amejitahidi kuweka misingi imara sana ya maendeleo,atakaemrithi ni kuendeleza tu
 
Ongeza na maendeleo mengine kama kuwa na viwanja vya ndege vibovu, kufa kwa shirika la ndege wakati wengine mashirika yanaimarika, wananchi kujichukulia hatua mikononi kila siku kwa watu wasiokuwa na hatia, polisi kuwa majambazi, migawo ya umeme ya kutengezwa, madarasa bila madawati n.k

Huna nia njema
 
helo wana jf,napenda kuwasalim wote,mie mgeni hapa jamvin, kuhusu hii topic ni kuwa, tatizo linakuja pale hospital zinapojengwa kubwa za kisasa lakin huduma kama madawa,vitanda na vipimo ni 0!
 
helo wana jf,napenda kuwasalim wote,mie mgeni hapa jamvin, kuhusu hii topic ni kuwa, tatizo linakuja pale hospital zinapojengwa kubwa za kisasa lakin huduma kama madawa,vitanda na vipimo ni 0!

Hii hospital pia kutakuwa na chuo pale. Ni ya kisasa kabisa na itaongeza ajira kwa watanzaia. Hilo la vitendea kazi wala usijari kabisa maana nalo lipo kwenye mikakati

Inabidi tuwatie moyo viongozi wetu badala ya kulalamika lalamika kila wakati.
 
Mtu mwenye akili timamu kabisa atajua kwa sasa maendeleo yanasonga mbele. laikini mtu mshabiki wa chama fulani hata ufanyeje atashabikia chama chake tu.

Ifike mahali tukubali kama serikali imefanya kitu kizuri. Yapo mabaya sawa lakini kwenye mazuri tuwasifu.
Wewe ukiwa mtu wa kulaum laumu kila wakati baadaye utaonekana mjinga, watu watakuzoea.

Viongozi wetu wanahitaji pongezi. Wewe unayebeza haya maendeleo nadhani hutakii mema nchi yetu. au wewe sio mtanzania unalengo lako binafsi.

Mimi niko naishi mikoa ya kusini Lindi na Mtwara. Ktk vijimiradi uchwara ulivyotaja kipi kinaninufaisha? Miaka 50 mikoa hii imetelekezwa kimaendeleo sababu ya chama chako cha Magamba. Leo gesi ya Mnazi bay inagunduliwa mnaanza mipango ya kutaka kuisafirisha kuja Dar kabla sisi wenyewe hatujafaidika nayo. Tutaifanya mikoa ya Lindi na Mtwara kuwa kama Sudan ya kusini. Nawaambieni tutakuwa taifa la 155 mwanachama wa Umoja wa Mataifa nyie subirini!
 
Tumeendelea sana tu... Kusafirisha Twiga wetu wenyewe kwenda arabuni nayo ni maendeleo aisee
 
Mimi niko naishi mikoa ya kusini Lindi na Mtwara. Ktk vijimiradi uchwara ulivyotaja kipi kinaninufaisha? Miaka 50 mikoa hii imetelekezwa kimaendeleo sababu ya chama chako cha Magamba. Leo gesi ya Mnazi bay inagunduliwa mnaanza mipango ya kutaka kuisafirisha kuja Dar kabla sisi wenyewe hatujafaidika nayo. Tutaifanya mikoa ya Lindi na Mtwara kuwa kama Sudan ya kusini. Nawaambieni tutakuwa taifa la 155 mwanachama wa Umoja wa Mataifa nyie subirini!

Wewe roho kama yako Nyerere alikwisha sema zamani mnasema sisi wa Mtwara sisi walindi. Na roho hiyo itaanzia kwenye familia yako. Nandipo utakapo gundua kuwa kile ulichokisema ni dhambi isiyo sameheka.
 
Tumeendelea sana tu... Kusafirisha Twiga wetu wenyewe kwenda arabuni nayo ni maendeleo aisee

[h=2]Anayebeza haya maendeleo basi hana nia njema na nchi yetu[/h]Kwa hiyo shishangai maana macho yako yamefumbwa na huoni.
 
Back
Top Bottom