Anayebeza haya maendeleo basi hana nia njema na nchi yetu.

Annael Haya hayaonekani kwa sababu hayana mpiga debe, serikali inaona ni wajibu wake kufanya haya na hivyo haioni haja ya kwa nini ijisifu au ilazimishe watu kuyasifu!
 
Last edited by a moderator:
Acha matusi kama huna cha kukomenti soma comment za wenzako na usepe. Sio lazima kukoment poa?

nimeona matapishi tu ya mwanadada apo juu sioni cha kukomenti. Nyumba nzuri utaiona tu kwa nje sio lazma uingie ndani kama unavotulazimisha hivyo vimipango vya ccm. Ungesema jk kakamilisha hiki cha maana tungekwelewa
 
nimeona matapishi tu ya mwanadada apo juu sioni cha kukomenti. Nyumba nzuri utaiona tu kwa nje sio lazma uingie ndani kama unavotulazimisha hivyo vimipango vya ccm. Ungesema jk kakamilisha hiki cha maana tungekwelewa
Kama umeona matapishi poa lakini hali halisi ndio hiyo wewe endelea kuona matapishi tu wenzio wanaona maendeleo utabaki hivyo hivyo.
 
Serekali tumeichagua hili ilete maendeleo na ndio wajibu wake, haya mnayojivunia nia sehemu ndogo ya matarajio yetu sisi wapiga kura, ukizingatia kuwa nchi yetu ina rasilimali nyingi, hivyo kama rasilimali zinatumika ipasavyo tunatarajia kuona mambo makubwa kuliko haya manayojisifia nayo.
 
Serekali tumeichagua hili ilete maendeleo na ndio wajibu wake, haya mnayojivunia nia sehemu ndogo ya matarajio yetu sisi wapiga kura, ukizingatia kuwa nchi yetu ina rasilimali nyingi, hivyo kama rasilimali zinatumika ipasavyo tunatarajia kuona mambo makubwa kuliko haya manayojisifia nayo.

Okey mimi nadhani huu ndio mwanzo ninatumaini yatakuwa zaidi ya hapa.
 
Reli ya Kati ilijengwa na Wajerumani Reli ya Tazara ilijengwa na Mchina.
Ofcause china ikojuuu sana kiuchumi yaani zaidi ya mara 1000 ya nchi yetu so wachina kujenga reli ni muhimu sana kwa maendeleo yetu.

Wewe hasa unachotaka nini kifanyike sasa?. Maana mikataba inarekebishwa hutaki au ndio kama yule mtoto asiyejua kuwa chakula kiko jikoni na anataka ale wakati hakijaiva?

Mjerumani alitengeza kwa faida ya watananganyika mara alipoondoka.Tazara hata katk policy za china ni kwajili ya shaba ,nani shaba ya kiwango cha juu ili kuweza kata kiu ya shaba katk soko la umeme na electronics la china.Nilikuwa zambia nikaona jinsi wazambia wanavyolalama shaba kuibwa katk malozi na kiasi kidogo kinachoweza chukuliwa. Tazara inawafaidisha wazambia ingawa tunalipa na sisi gharama kubwa.Wanajichukulia mabehewa na kutatumia katika nchi nyingine za kusini na kati.Mkataba wa tazara ni kichonyanyaji kam ailivyo kwa kawaiad aya mikataba iingiwayo na vilaza CCM.Hata waziri mwakyembe siku za karibuni aliripotiwa kushangaa mengi.

Mikataba kurekebishwa hakurudishi tulichopoteza na hata ilipo bado ni ya kipuuzi sana kwani mareebisho hayakuwa ya lazima ila ni maombi,mwekezeai aamue kukubali na aamue kipi kibadilishwe na kwa kiasi gani.

Nadhani kwa vikra kama zako zinazoweza mezwa na ushabiki hakuna kitu hapo.
 
Sijaona maendeleo hapa zaidi ya kutuongezea deni, kama kodi zinazokusanya hazitoshi posho na mishahara yao (kwa taarifa za waziri wa fedha, alipotoa bajeti) hivyo wanakopa nje ili kupata marupurupu zaidi, pia wanakopa ili watoe miradi feki kama ulioitaja na wakati huo huo wanawaachia wageni waondoke na mali zetu na wao kufunguliwa akaunt nje, kama haya ni maendeleo basi waafrika ni watumwa hata sasa, fikiri tutalipaje? Kuna haja ya kujenga hospital mpya wakati tulizonazo hazina vifaa muhimu? Naamini ukiwa kiongozi tz wajinga wanakuona ni malaika
 
Annael, kinachoangaliwa hapa sio final product on its own, bali what took us to get there. Kwa rasilimali tulizonazo, na ukubwa na deni la taifa, tulitakiwa tuwe mbali kabisa na sio hivyo viji miradi ya kuku.

Daraja la Kigamboni kama umegundua ni tofauti na ilivyokuwa imepangwa. They've gone for a very cheaper daraja. Ukija kwenye mradi wa mabasi yaendayo kasi, kama kumbukumbu zangu ni sahihi mwaka jana tulioneshwa aina ya mabasi yatakayotumika - ni viji-bus vya TATA - daladala like. Sielewi kwanini hawakufikiria kuweka 'Trams'?

Hela zipo (Swiss) na bado tunaendelea kukopa. For what? Kukarabative Locomotive Trains kwenda Kigoma?

Kuzuru TAZARA, Tanzania tunachangia kiasi gani kukarabati? Another humialiation, baada ya miaka yote bado tumeenda kuwaangukia wachina watusaidie kuikarabati! Na hiyo hospitali ya kimataifa unasema inajengwa, unajua nani anafadhili huo ujenzi, na amepata nini in return?

Mkumbushe hili pia:

Barabara za DART zitagharimu TZs 230bn. Pesa iliyofichwa uswisi ni zaidi ya Tzs 315bn; chenji ni zaidi ya Tzs 115bn.

Ujenzi wa daraja la kigamboni unatarajiwa kugharimu +200bn, misamaha ya kodi kwa mwaka wa fedha uliopita ilikuwa TZs 1.2Trillion.

Ujenzi wa bomba la gesi unafadhiliwa na serikali ya china kwa mkopo wa 200bn+, tungeweza kujenga kwa kutumia pesa zetu zinazopotea kwenye misamaha ya kodi.

CCM inachojaribu kufanya sasa ni danganya toto. Watanzania wameshapita zama hizo za kudangwanywa.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hizi hapa project zinaendelea hapa nchini

[h=1]Active Projects[/h]
shim.gif
[1] 2
spacer.gif
Display Results in set of: 10
spacer.gif
50
spacer.gif
100
spacer.gif

spacer.gif
Project Name
none.gif
Country
none.gif
IBRD/IDA
none.gif
Status
none.gif
Approval Date
desc.gif
Tanzania Phase II: EITI ImplementationTanzania 0 Active30-MAY-2012
Tanzania Productive Social Safety NetTanzania 220 Active29-MAR-2012
Basic Health Services ProjectTanzania 100 Active20-DEC-2011
TANZANIA TRANSPORT SECTOR SUPPORT PROJECT - ADDITIONAL FINANCINGTanzania 59 Active30-JUN-2011
Additional Financing for the Tanzania Energy Development and Access Expansion ProjectTanzania 27.88 Active07-JUN-2011
Development of a National Statistical System for TanzaniaTanzania 30 Active24-MAR-2011


Zanzibar Urban Services ProjectTanzania 38 Active24-FEB-2011
Rural Food Fortification Project in TanzaniaTanzania 0 Active22-FEB-2011
Tanzania ICT and Services Incubator (AFR 5)Tanzania 0 Active03-SEP-2010
Tanzania - Backbone Transmission Investment ProjectTanzania 150 Active26-AUG-2010
SECOND ADDITIONAL FINANCING FOR TASAF IITanzania 35 Active04-JUN-2010
Second Additional Financing for Agriculture Sector Development ProjectTanzania 35 Active28-MAY-2010
Tanzania Strategic Cities ProjectTanzania 163 Active27-MAY-2010
Secondary Educ. Development Program IITanzania 150 Active27-MAY-2010
TRANSPORT SECTOR SUPPORT PROJECTTanzania 270 Active27-MAY-2010
Additional Financing - Energy Development and Access Expansion ProjectTanzania 25 Active06-APR-2010
Tanzania - Housing Finance ProjectTanzania 40 Active09-MAR-2010
Tanzania - Accelerated Food Security ProjectTanzania 160 Active09-JUN-2009
Additional Financing for Agricultural Sector Development ProjectTanzania 30 Active09-JUN-2009
Sustainable Management of Mineral ResourcesTanzania 50 Active09-JUN-2009
shim.gif

[h=1][/h]
shim.gif

spacer.gif
Tanzania - Accelerated Food Security ProjectTanzania 160 Active09-JUN-2009
Second Central Transport Corridor ProjectTanzania 190 Active27-MAY-2008
Science & Technology Higher EducationTanzania 100 Active27-MAY-2008
TZ-GEF Energy Dvpt and Access ExpansionTanzania 0 Active13-DEC-2007
TZ-Energy Development & Access ExpansionTanzania 105 Active13-DEC-2007
Performance Results and Accountability ProjectTanzania 40 Active27-SEP-2007
Zanzibar Basic Education Improvement ProjectTanzania 42 Active24-APR-2007
Water Sector Support ProjectTanzania 200 Active13-FEB-2007
Tanzania Agricultural Sector Development ProjectTanzania 90 Active15-JUN-2006
Financial Sector Support ProjectTanzania 15 Active15-JUN-2006
Private Sector/MSME CompetitivenessTanzania 95 Active15-DEC-2005
Marine and Coastal Environment ManagementTanzania 51 Active21-JUL-2005
Marine and Coastal Environmental Management ProjectTanzania 0 Active21-JUL-2005
Tanzania Second Social Action FundTanzania 150 Active30-NOV-2004
IND TRADE ADJTanzania 12.5 Active13-MAR-1989
 
Kwa hakika nchi yetu imeanza kujikwamua tena kwa kasi sasa. Nataraji mda si mrefu nchi yetu itakuwa na maendeleo makubwa.
Nimekuwa nikijionea kwa macho yangu jinsi miradi mbalimbali hapa nchini inavyoenda kwa kasi. Hii ni dalili tosha kabisa kwamba viongozi wetu wameamka kutoka katika usingizi waliokuwa nao.

Nitajaribu kutaja baadthi ya miradi inayoendelea hapa nchini na italeta chachu kubwa sana ya maendeleo.

1. Ujenzi wa Hospitali ya kimataifa: Huu ni mradi ambao tayari umekwisha kuanza. Hospitali hiyo itajengwa maeneo ya kisarawe ambayo itakuwa na kiwanja cha ndege. vilevile kutakuwepo na chuo cha madaktari, wauguzi na wafamasia. Hospitali hiyo itarajiwa kumalizika mwaka 2014.

2. Ujenzi wa daraja la kigamboni: Huu mradi tayari umeshafunguliwa na tayari sasa daraja kwaajiri ya kuwasaidia wajenzi limeshawekwa. ni matumaini yangu mda si mrefu ujenzi wa daraja hilo utaanza.

3. Mabasi yaendayo kwa kasi: Katika kutatua tatiza la foleni kwa wenyeji wa dar es salaam nadhani wanajionea wenyewe jinsi shughuli za ujenzi wa njia za mabasi yaendayo kwa kasi inavyo enda kwa kasi.

4. Upanuzi wa barabara mbalimbali: Kila mmoja mwenye macho anaona jinsi miradi ya ujenzi na upanuzi wa barabara zetu unavyo enda kwa kasi.

5. Kupitiwa kwa mikataba mbalimbali: Mikataba mbalimbali ambayo ni mibovu inapitiwa na kurekebishwa. Mikataba ya madini na na mingine mingi tu.

6. Kuwa na umeme wa kudumu: Ujenzi wa bomba la gesi abao kwa uhakika utaondoa kabisa tatizo la umeme nchini.

7. Reli ya tazara: Ukarabati wa reli ya tazara utarahisisha usafiri wa watu waendao kusini mwa tanzania tayari sasa serikali ya Tanzania, Zambia na China wameshaanza utaratibu wa kuikarabati reli hiyo.


Kwa hayo machache tu na mengine yapo mengi. Hii ni dalili tosha kabisa nchi yetu inapiga hatua kwa kasi.
Tutambue kuwa kuna nchi hawataki kuona nchi yetu ikiendelea maana itakapoendelea watakuwa hawana chao kwetu.

Kwahiyo anayebeza maendeleo haya basi hana nia njema na nchi yetu.

I'm pretty sure you are either joking(in which case i don't like it when its serious matters) or you are so blinded (in this case i pity you).
Good day.
 
Hizi hapa project zinaendelea hapa nchini

Active Projects
shim.gif
[1] 2
spacer.gif
Display Results in set of: 10
spacer.gif
50
spacer.gif
100
spacer.gif
spacer.gif
Project Name
none.gif
Country
none.gif
IBRD/IDA
none.gif
Status
none.gif
Approval Date
desc.gif
Tanzania Phase II: EITI ImplementationTanzania 0Active30-MAY-2012
Tanzania Productive Social Safety NetTanzania 220Active29-MAR-2012
Basic Health Services ProjectTanzania 100Active20-DEC-2011
TANZANIA TRANSPORT SECTOR SUPPORT PROJECT - ADDITIONAL FINANCINGTanzania 59Active30-JUN-2011
Additional Financing for the Tanzania Energy Development and Access Expansion ProjectTanzania 27.88Active07-JUN-2011
Development of a National Statistical System for TanzaniaTanzania 30Active24-MAR-2011
Zanzibar Urban Services ProjectTanzania 38Active24-FEB-2011
Rural Food Fortification Project in TanzaniaTanzania 0Active22-FEB-2011
Tanzania ICT and Services Incubator (AFR 5)Tanzania 0Active03-SEP-2010
Tanzania - Backbone Transmission Investment ProjectTanzania 150Active26-AUG-2010
SECOND ADDITIONAL FINANCING FOR TASAF IITanzania 35Active04-JUN-2010
Second Additional Financing for Agriculture Sector Development ProjectTanzania 35Active28-MAY-2010
Tanzania Strategic Cities ProjectTanzania 163Active27-MAY-2010
Secondary Educ. Development Program IITanzania 150Active27-MAY-2010
TRANSPORT SECTOR SUPPORT PROJECTTanzania 270Active27-MAY-2010
Additional Financing - Energy Development and Access Expansion ProjectTanzania 25Active06-APR-2010
Tanzania - Housing Finance ProjectTanzania 40Active09-MAR-2010
Tanzania - Accelerated Food Security ProjectTanzania 160Active09-JUN-2009
Additional Financing for Agricultural Sector Development ProjectTanzania 30Active09-JUN-2009
Sustainable Management of Mineral ResourcesTanzania 50Active09-JUN-2009
shim.gif

shim.gif
spacer.gif
Tanzania - Accelerated Food Security ProjectTanzania 160Active09-JUN-2009
Second Central Transport Corridor ProjectTanzania 190Active27-MAY-2008
Science & Technology Higher EducationTanzania 100Active27-MAY-2008
TZ-GEF Energy Dvpt and Access ExpansionTanzania 0Active13-DEC-2007
TZ-Energy Development & Access ExpansionTanzania 105Active13-DEC-2007
Performance Results and Accountability ProjectTanzania 40Active27-SEP-2007
Zanzibar Basic Education Improvement ProjectTanzania 42Active24-APR-2007
Water Sector Support ProjectTanzania 200Active13-FEB-2007
Tanzania Agricultural Sector Development ProjectTanzania 90Active15-JUN-2006
Financial Sector Support ProjectTanzania 15Active15-JUN-2006
Private Sector/MSME CompetitivenessTanzania 95Active15-DEC-2005
Marine and Coastal Environment ManagementTanzania 51Active21-JUL-2005
Marine and Coastal Environmental Management ProjectTanzania 0Active21-JUL-2005
Tanzania Second Social Action FundTanzania 150Active30-NOV-2004
IND TRADE ADJTanzania 12.5Active13-MAR-1989

Tatizo la annaele haoni vitu vya msingi kabisa.Kuna vitu vimefanyika ccm wakiw amdarakani hawakufanya wao ila wanataka chukua credit.Rwanda walikuwa wakijenga barabara na na kupata mafuta wakati vita vikiendelea, somalia,afghanistani na wengine wanajenga barabara huku vita vikiwa mbele, na mara nyingine barabara zikibomolea kwa mabomu na makandarasi wakitekwa.Hiili la Tazana na utafiti wa mafuta wenye uwekezaji wao hufauta hizo mambo bila hata kuitwa.Sasa Mkopo na hel ya NSSf inahusika vipi na CCM kujenga daraja la kigamboni?NSSF ni wawekezaji wanatafuta kipato ,kupkopesha na kuwekeza ndio njia sahihi kwao.sasa hivi wanatoa mikopo kwa wanachama kupitia saccos.sasa useme kuwa hela ya wavuja jasho niya CCM.Nyingine za world bank,ADB etc wote hao kama si wafadhili ni wawekezaji wanaotukopesha na kutudai riba.kazi yao ni kukopesha kama bank, na kutafuta wakopaji ni jukumu lao.

Gamba ni gamba tuu.Utaweka list kibao lakini katik ya hayo yote utakuta CCM hakuna kitu zaidi ya kuipunguza ubora kwa kuiba.
 
Tatizo la annaele haoni vitu vya msingi kabisa.Kuna vitu vimefanyika ccm wakiw amdarakani hawakufanya wao ila wanataka chukua credit.Rwanda walikuwa wakijenga barabara na na kupata mafuta wakati vita vikiendelea, somalia,afghanistani na wengine wanajenga barabara huku vita vikiwa mbele, na mara nyingine barabara zikibomolea kwa mabomu na makandarasi wakitekwa.Hiili la Tazana na utafiti wa mafuta wenye uwekezaji wao hufauta hizo mambo bila hata kuitwa.Sasa Mkopo na hel ya NSSf inahusika vipi na CCM kujenga daraja la kigamboni?NSSF ni wawekezaji wanatafuta kipato ,kupkopesha na kuwekeza ndio njia sahihi kwao.sasa hivi wanatoa mikopo kwa wanachama kupitia saccos.sasa useme kuwa hela ya wavuja jasho niya CCM.Nyingine za world bank,ADB etc wote hao kama si wafadhili ni wawekezaji wanaotukopesha na kutudai riba.kazi yao ni kukopesha kama bank, na kutafuta wakopaji ni jukumu lao.

Gamba ni gamba tuu.Utaweka list kibao lakini katik ya hayo yote utakuta CCM hakuna kitu zaidi ya kuipunguza ubora kwa kuiba.

Umeziona projects hizo lakini?
 
Umeziona projects hizo lakini?

Jibu maswali haya (kama unaweza):
  1. Nani ana-finance hizo projects?
  2. Project concepts za miradi hiyo ziliandikwa lini?
  3. Contribution ya serikali kwenye hizo projects ni ipi na inahusu nini?
  4. Financiers wametoa grants au credits?
  5. Financing ikisimama projects zitaendelea?
Ukileta hayo majibu tuambie kama kwako hayo ndiyo maendeleo.
 
Ni hatari kubwa tunapoanza kupima maendeleo ya watu wasiopungua Milioni 40 kwa maana kama hiii.

Tungepima maendeleo:-

-Kwa idadi ya watoto wetu kimataifa katika elimu, sayansi na technologia asilimia ngapi au tupo nafasi ya ngapi

-Kwa mtanzania wa kawaida anachangia kiasi gani cha mapato kwa taifa kwa mwaka (itaonesha tumepiga hatua mmoja mmoja namna gani)

-Kwa mtanzania wa kawaida uwezo wa milo mitatu yakueleweka kwa siku ( au anatumia dolla ngapi kwa siku kwa wastani)

-Deni la taifa kwa kila kichwa kwa wastani limepungua kiasi gani

-kwa idadi ya madakitari yaani daktari mmoja kwa wastani anahudumia watanzania wangapi?

-Uwezo wa kumudu walau uhitaji wa vifaa tiba sahihi na madawa sahihi walau kila mkowa

-Uwezo wa kumudu bajeti yetu walau kwa 78% kama taifa sio mkowa kama ilivyo daraja la kigamboni japokuwa na wa tabora watavuka kusalimu ndugu zao, zaidi wanarahisisha kuvuka kwenda kwenye mahekalu yao wanayoyajenga huko)

-Uwezo wa kuwa na umeme inchi nzima na kwa gharama nafuu sio huu wa kubahatisha na gharama kubwa

-Waalimu kwa wastani kumudu kutoa elimu bora walau kwa kupewa mafao bora sio Tsh 300,000 kwa siku 30, watoto 2, mme, afya, kodi, chakula, maji nk

-Mwalimu mmoja kwa wastani anafundisha watoto wangapi kwa taifa sio kimkowa.....

Sidhani kama kusifia vijimradi vya uchochoroni ukilinganisha na ukubwa wa inchi, idadi ya watu na maeneo miradi hiyo inawekezwa kunaleta maana hasa ukilinganisha na RASLIMALI tulizonazo watanzania.

Je katika mikowa iliyoachwa nyuma kimaendeleo wajivunie nini? Tabora, Singida, Kigoma, Rukwa, Ruvuma, Mtwara, Lindi nk

Tunaendeleza mbwembwe na mikakati ilele ya kuwahadaa watanzania kwa pipi..........why?
 
Jibu maswali haya (kama unaweza):
  1. Nani ana-finance hizo projects?
  2. Project concepts za miradi hiyo ziliandikwa lini?
  3. Contribution ya serikali kwenye hizo projects ni ipi na inahusu nini?
  4. Financiers wametoa grants au credits?
  5. Financing ikisimama projects zitaendelea?
Ukileta hayo majibu tuambie kama kwako hayo ndiyo maendeleo.

Nadhani hizo project zina link hapo juu hebu bofya tu project moja moja na utaziona vizuri maana zinajieleza. Poa?
 
Shuka la ufisadi ndio limetufunika!

Wanao beza ni wale wenye macho lakini hawaoni kutokana na shuka la uchadema limeziba nyuso zao. Haya maendeleo ni sumu kwao, kila jema linalo fanyika linarudisha nyuma ndoto zao.
 
Umeziona projects hizo lakini?

wewe kweli kichwa fikra mgando..sasa ningequote vipi kama sijaziona?Na zote niliona proposal zake,na nyingi si initiative za watanzania lets alone CCM.CCM ni kikwazo tuu cha ufanisi kwa wizi hapa.miradi ya world bank unasema ni ya CCM?

Ngoja nikupotezee nina activity outdoosr andika yoote uonayo nitakujibu nikirudi indoors.
 
FJM,
Naona kiwanda chako kipya kimekamilika lini uzinduzi?

tena kinatoa product bila kujua hata aina ya product yenyewe.
Eti daraja la kigamboni silo lililokusudiwa,
eti mradi wa mabasi umechakachuliwa na wanleta tata.
Hakika jk hakukosea,
kuna watu wanatamani waone serekali imekwama wapate la kusema, utafikiri sio watanzania.
Ndomana kila kukicha wanazua jipya.
 
Last edited by a moderator:
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom