Mm cfahamu kk ila eatu the way wanajibu duh it's so funnyNDO UMSAIDIE KUTOA JIBU SAHIHI
ANAITWA MR SIWA MWENYEJI WA BUNGE PALE PALE.Habari zenu ndugu zangu,
Siku zote aulizae ataka kujua, naomba kuuliza hivi anaebeba SIWA bungeni mwaka 2016 anaitwa nani na ni mwenyeji wa wapi.
Asanteni
siwa ni nini?
dah,hili jibu lako limenisikitisha sana japo limenifanya nicheke sana mpk nimemrushia jamaa mate aise!eAnaitwa mwaipumbuje mwaitakotako mwenyeji wa busokelo tukuyu mbeya . Una swali jingine?
Kumbe unasikia,haya bhana basi ngoja mimi nipite tu pembeni.Hiyo siwa nasikia ni dhahabu tu!