Anayebeba SIWA bungeni 2016 anaitwa nani?

Anayebeba SIWA bungeni 2016 anaitwa nani?

Jamani kwani hili jukwaa la jokes??! mambo mengine tujiongeze na kujistiri upumbavu wetu.....mtu anauliza ataka kufahamu watu mnaleta ushoga wenu aaargh!
Tell them buddy.Hadi inaleta kinyaa.
 
Habari zenu ndugu zangu,

Siku zote aulizae ataka kujua, naomba kuuliza hivi anaebeba SIWA bungeni mwaka 2016 anaitwa nani na ni mwenyeji wa wapi.

Asanteni

Anaitwa Mr. SIWA HOLDER.
 
haya bhana ila mimi nilihitaji kujua jina lake na si jukumu analofanya

Mkuu hiyo siwa ubebwa na mtu aitwae "Sergeant at Arms" ambaye kimsingi anakuwa na majukumu mengi lakini mojawapo ndilo hilo la kubeba siwa. Kuhusu jina binafsi au mkoa gani anatoka hilo sijui kwani sina hakika kama mbebaji wake uwa ni huyo huyo mtu mmoja siku zote au ni yeyote miongoni mwa Sergeants at Arms wengi waliopo hapo ofisi za bunge.
 
Jamani kwani hili jukwaa la jokes??! mambo mengine tujiongeze na kujistiri upumbavu wetu.....mtu anauliza ataka kufahamu watu mnaleta ushoga wenu aaargh!
Jf kuna kitu kitaletwa watu wasiwe na utani ?? Wewe kama mada ya kifo ina utani ndio ije kuwa hii ???
 
Jf kuna kitu kitaletwa watu wasiwe na utani ?? Wewe kama mada ya kifo ina utani ndio ije kuwa hii ???


Akili mgando!! kuna mada za kutaniana na nyingine hapana ni ukosefu wa hekima
 
Jf kuna kitu kitaletwa watu wasiwe na utani ?? Wewe kama mada ya kifo ina utani ndio ije kuwa hii ???
Afadhali nawewe umeliona hili...nimeulia swali ila kuna baadhi wanaleta utani sijui ni kwanini?
 
Back
Top Bottom