Simba wanataka kuigombanisha Yanga na refa wa jana

Simba wanataka kuigombanisha Yanga na refa wa jana

Chick_tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2025
Posts
2,446
Reaction score
3,297
Sisi kama Yanga tunasema lile shut la Aziz Ki halikuwa goli kwa sababu mpira haukugusa nyavu lakini kuna mashabiki wa Simba wanataka kutugombanisha na refa kwa kusema lilikuwa goli

SIMBA MSITUCHONGANISHE NA REFA Yule refa hana baya Au nadanganya Pdidy
 
Sisi kama Yanga tunasema lile shut la Aziz Ki halikuwa goli kwa sababu mpira haukugusa nyavu lakini kuna mashabiki wa Simba wanataka kutugombanisha na refa kwa kusema lilikuwa goli

SIMBA MSITUCHONGANISHE NA REFA Yule refa hana baya Au nadanganya Pdidy
Makolo wanaitaka sapoti ya Yanga kwa udi na uvumba.

Wakati ule walikuwa wanamshangilia.
 
Giant wa kucheza dakika 200 na ushee na kupata on target 1.

Labda giant wa kuishia robo fainali.
Ally kamwe kabandka bango kwenye gari lake likiwa na picha ya refa
 
Sema tu timu ya simba imezoea kubebwa na akina Tatu Malogo, Kepha Kayombo na Japhet Smart. Wakikutana na waamuzi wenye sura ya mbuzi, huwa wanatapatapa sana.
 
Back
Top Bottom