Anataka vitu alivyonihonga nimrudishie eti.

Anataka vitu alivyonihonga nimrudishie eti.

nina-kithembe

Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
63
Reaction score
14
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc

Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"


Nisaidieni wadau...ushauri.
 
Kanipigia tena simu now...kaniambia atanivunja kiuno. Daah sijawahi kuona mwanamke baunsa kama huyu. Anaongea kigaidigaidi tu
 
hivi wewe mbona muongo muongo?ni ushamba wa kutumia mitandao au ni nini?
Acha umburula wa kutujazia mithread ya kishenzy shenzy stori za kifala kifala
 
:A S 576:Inasikitisha saana kuona hata sasa kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi anaweka uhai wake, utu wake na ujana wake rehani kisha kufanya kiuno chake kuwa ajira. Kimsingi angekuwa ni mpenzio hukupaswa kurudisha kwani zawadi hazina refund. Lakini kwakuwa ulihongwa kwa matumizi ya kumridhisha huyo shuga mumy, na ukaamua kuvunja mkataba naye inabidi urudishe vitu vyake ili na yeye aweze kuvihonga kwa wenzio ambao wana tabia za kupenda kuwekwa mjini.
 
mwambie akulipe na service ulokua ukimpa,na wewe sikunyengine usipende vya bure mwanamme mzima huwezi jikaza.
 
mwambie nayeye arudishe nguvu ulizotumia wakati wa kunongona na ww mbulula kwel yan cheni 2 nilidhani amekupa gari
 
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc

Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"


Nisaidieni wadau...ushauri.

...fafanua kwenye RED.
 
Kanipigia tena simu now...kaniambia atanivunja kiuno. Daah sijawahi kuona mwanamke baunsa kama huyu. Anaongea kigaidigaidi tu

Alafu kama wewe vile umesema unamtaka mdogo wangu Heaven on earth,kama ndo wewe kweli basi utavunjwa sana viuno mwaka huu,rudisha mali za watu,awahongee wengine!
 
Last edited by a moderator:
Kanipigia tena simu now...kaniambia atanivunja kiuno. Daah sijawahi kuona mwanamke baunsa kama huyu. Anaongea kigaidigaidi tu

...loh! Kumbe "sugar mamy" ni mwanamke Baunsa ... Loh! Kweli "mpenzi kizunguzungu"
... Lakini si ndiyo nyie mlikuwa mnakuja hapa' mkitafuta mijimama ya kuwalea?
 
mwambie akulipe na service ulokua ukimpa,na wewe sikunyengine usipende vya bure mwanamme mzima huwezi jikaza.

Hawa ndiyo wanatufanya tudharaulike na wanawake. Kuna thread mwanamke kasema eti wanaume tumekuwa ombaomba siku hizi!! ombaomba wengi ni wanaume! aaaagriiii nimepiga ngumi ukutani!!
 
Back
Top Bottom