Anataka vitu alivyonihonga nimrudishie eti.

Anataka vitu alivyonihonga nimrudishie eti.

Hawa ndiyo wanatufanya tudharaulike na wanawake. Kuna thread mwanamke kasema eti wanaume tumekuwa ombaomba siku hizi!! ombaomba wengi ni wanaume! aaaagriiii nimepiga ngumi ukutani!!

Then prove them wrong!! Kwa tabia hizi mtatukanwa na kudhalilishwa kila leo na mabinti..
You need to change trust me!
 
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc

Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"


Nisaidieni wadau...ushauri.
Na wewe mwambie vile ulivyomhonga naye akurudishie
 
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc

Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"


Nisaidieni wadau...ushauri.

Ni ukweli kabisa unacho kithembe nina-kithembe
 
Last edited by a moderator:
Kaka mwanbie naye akurudishie mambo ambayo umempatia mpk anakusumbua hivyo pia badilisha namba tu
 
Utavunjwa kiuno ooooooooh, alllllaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah pumbaf, dume zima unapenda vya bure, wakupime we sio mzima
 
Heaven yamekua hayo mamii?..ivi unanipenda kweli au unataka kunichezea tu afu uniache!....roho inauma baby.
 
Back
Top Bottom