vizuri sana mnapenda mteremko kwa kutembea na mama zenu na bado HIV litakua limekuachia nyambafu
Samahani mkuu mama yako wewe ana HIV? Utu uzima na HIV sijui una husianaje mkuu?
vizuri sana mnapenda mteremko kwa kutembea na mama zenu na bado HIV litakua limekuachia nyambafu
hahahahahahahahaha!!! Aweke na lipicha kabisa tulione lilivyolibaunsa!!!
Kanipigia tena simu now...kaniambia atanivunja kiuno. Daah sijawahi kuona mwanamke baunsa kama huyu. Anaongea kigaidigaidi tu
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc
Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"
Nisaidieni wadau...ushauri.
Mabinti ni wasumbufu sana. Ndo maana nimeamua kurusha ndoano kwa Heaven on Earth- akila tu chambo-kanasa. Ntaivuta hiyo kamba kwa nguvu zote...mpaka anafika nchi kavu anakua yupo hoi. Nampuzisha kwa kikapu mpaka kifo kitutenganishe. Nakupenda sana Heaven. Penzi langu kwako ni kama zali la mentali.
wewe ndo 'Li mbulula,..
My kaka huyu thiimuwezi hata kidogo.......na mie kuhonga thijui.........
Ngoja apathuliwe tu ...........
My kaka huyu thiimuwezi hata kidogo.......na mie kuhonga thijui.........
Ngoja apathuliwe tu ...........
Pole ndio mambo,wanasema Kupeana ni kikoa toa na wewe upewe,sasa kama mwanamme mwengine katoa mwanamme mwengine anapewa..sema ikizidi ndio hayo yakuchukua Mama ukawa mtumwa wake.Hawa ndiyo wanatufanya tudharaulike na wanawake. Kuna thread mwanamke kasema eti wanaume tumekuwa ombaomba siku hizi!! ombaomba wengi ni wanaume! aaaagriiii nimepiga ngumi ukutani!!
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc
Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"
Nisaidieni wadau...ushauri.
Huko mtwara unapiga kazi hiyo hiyo ya kujiuza? Uwe unawasainisha mkataba kuwa zawadi hazitarudishwa.