Haja specify level ipi ya chuo, labda anafundsha chuo cha udereva..Are a lecturer, where do you leave your work ethics?
Hata chuo cha udereva kina ethics jamani.Haja specify level ipi ya chuo, labda anafundsha chuo cha udereva..
Hata chuo cha udereva kina ethics jamani.
VETAHata chuo cha udereva kina ethics jamani.
Mkuu Veta wanaruhusu walimu ku chuku chuku wanafunzi wao?VETA
Hivi vyuo vya siku hizi kama wewe ni lecturer basi kama Taifa tumepata hasara aise wewe ni bwege wa mchana nasikitika umekua bwege wa kufungulia mwaka.Habarini wana jamvi,kuna demu alikua mwanafunzi wangu wa chuo mwaka jana nlidate nae sana ila wivu ukazidi nikaamua kumpiga chini akaanza matusi ya hapa na pale sikumjibu sasa juzi kanitafuta na kuomba samahani sana eti kanimiss sana hasa ninavyomkunja na kumsugua kitandani anataka turudiane na anaomba nimsamehe sasa nawaza nimsamehe au niendeleze ukauzu asije kuwa kaja kuniroga
Zumbukuku wee!
kweli kabisa mtu kama huyo hana hiyo sifa ya kuitwa hivyo kabisaHili jina inabidi lianze kutolewa kwa watu wanaojielewa tu kwa kweli, mi naona aibu mtu kama huyo kumwita mkuu.
"Chuo kipo mkabala na choo cha stendi.. wahi nafasi ni chache.."wewe ni lecture wa vile vyuo juu chuo chini duka la madera
itakuwa musoma utalii collegeAlikuwa mwanafunzi wako wa chuo gani?
Mkuu tuombe radhi aise veta? Mbona kama unakiuka miiko yakaz yako?VETA
halafu mwaka mzima unaambiwa nafas ni chache hakijawah kujaa"Chuo kipo mkabala na choo cha stendi.. wahi nafasi ni chache.."
Nakusalimu..mwanafunzi wako wa chuo, wewe ni lecturer? WTH!!!
Labda atakuwa semina leaderAre you a lecturer, where do you leave your work ethics?
Marahabaaa Manka! Hujambo?Nakusalimu