Anataka nauli ya ndege

Anataka nauli ya ndege

Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umefanya vizuri sana mwamba.
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiongeza maarifa kidogo,utapita kwenye nyayo zangu....bravo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hukumtoa bikra, basi weka historia hata kuwa wa kwanza kumpandisha ndege! Acha ubahili.
 
Cha kukushauri, stop kumpa hizo huduma kwa mda! Hata miezi miwili, usimpe hela za vicoba Wala nahitaji madogo mengine ili ajiendeshe mwenyewe kwa mda some ulivyo ngumu bila support yako. Na usimamie msimamo wako kweli kweli. Atanyooka tu, unajua amekuona ww Ni dhaifu kwake kiasi kwamba atakufanya chochote kile apendacho, yaan anaweza kukuforce umfanyie kitu kwa lazima na ukajikuta huna jinsi ya kufanya zaidi ya kumtumia hizo pesa ilibtu umridhishe yeye na ugomvi uishe, au Kila kitu anakutupia lawama wewe Kama vile ndo mkosaji hivyo vyote Ni njia za kukukamata usifurukute hivyo kumnyoosha acha kumuhudumia kwa mda kwanza baadae akiona Mambo magumu atakusikiliza tu na atanyooka. Na hapo ndo umkomalie afuate matakwa yako.
NB: Nimetumia experience tu, iliwahi kumtokea broo wangu akafanya hivyo kwa almost miezi 4 mfululizo hakumuhudumia kwa chochote, na alimwambia kua kana huwezi kua na Mimi niache tu, nitapata mwingine Mungu akipenda lkn siwezi kua na hela Kila siku za kukuhudumia na sijakuoa. Mwisho wa siku mwanamke akaamua kumfuata dada yetu kwa ajili ya kufanya suluhisho na alibarika akawa normal tu. Asikusumbue broo panga uchumi wako vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo ulimkosea toka mwanzo, inaonekana ulimwonyesha una pesa mwanzoni, hivyo anajua nauli unayo ya kumpandisha ndege, ulimtongoza kipredeshee, kama unampenda mtumie tu hiyo tiketi ya ndege, na mama ako amemuonea wapi huko mkoani au ?
 
Nadhani watu kama wewe mnakurupuka tu kukomenti bila kusoma uzi.
Jamaa amesema huo uwezo hana

God save us
 
Nimesoma uzi wako nimekumbuka dauti ya Mchungaji Daniel Mgogo unasema hivi: "Wife to be...mpe vitu vidogo vidogo" ili siku akiondoka upate nafasi ya kujifariji
 
U chumba wa miezi mitano umeanza kuchangia vicoba?
Mbona wakina Mwajuma Ndala Ndefu wapo wengi tu.
Vijana wa kiume wanahitaji guidance na orientation kubwa sana kudeal na mabinti. Wanazidiwa akili by far, mwisho hujikuta kutumika sana kwa kujiingiza kwenye madeni makubwa huku wapiga mark time kimaendeleo! Binti/mchumba mpaka anakushinikiza kitu ujue alishakuona hamnazo kichwani na hakuhitaji kwa chochote zaidi ya financial back-up. Hata ikitokea ameolewa na mtu wa aina hiyo basi huyo mume ajue yeye ni last resort na siyo choice ya maisha ya binti husika. Michepuko yake kama kawa!
 
Dogo mchumba anabembelezwa, acha ubabe. Ndege ni usafiri wa kawaida, Mume wangu enzi hizo tukiwa wa wachumba, monthly nilikuwa natua Mtwara na PW 720 tunakula bata weekend then narudi zangu chuo. Uwe mzalendo, kweli safari yote na Super Najimunisa from Mwanza mpaka Dar masaa 18?. Wakati Airbus ni saa 1 tena kupitia Knjaro.
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo mchumba anabembelezwa, acha ubabe. Ndege ni usafiri wa kawaida, Mume wangu enzi hizo tukiwa wa wachumba, monthly nilikuwa natua Mtwara na PW 720 tunakula bata weekend then narudi zangu chuo. Uwe mzalendo, kweli safari yote na Super Najimunisa from Mwanza mpaka Dar masaa 18?. Wakati Airbus ni saa 1 tena kupitia Knjaro.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuiga wewe binti

Life is not a movie
 
Toa nauli ya ndege shemeji. Kama huna katafuta level zako. Waachie wenye hela waendelee kula mzigo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom