Anataka nauli ya ndege

Anataka nauli ya ndege

Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
hizo ni dalili mbaya za ndoa, na apo hakuna ndoa ni homa,nenda kaoe huyu alafu uje ufulie ndipo utakapo juwa kwanini embe bichi huliwa na chumvi!
 
Kubabake hamna mwanamke apo..na huewez amini itakua kawahadithia shoga zake kua anakujaga kwako na ndege....amini kwamba ushamba mzigo na ndio unamsumbua huyo shankupe
 
Mkuu yupo Mkoa gani?

Achana nae braza, Achana nae kabisa. Kabisa aisee. Yaani imeniuma sana.

Usikute hajawahi kupanda ndege ata mata moja, amepata mteremko.

Mpige chini tafuta goma jipya. Na vyuo vimefunga mtaani kuna watoto wakali hatari.
 
Ulimuonyesha una pesa mwanzoni sasa unajichomoa kwa ajili ya nauli ya ndege duh.....yaani wanaumme wa kitanzania ni ma peasant sana mwenzako kakuambia hawezi kupanda basi wewe unamlazimisha apande basi za mikoani wewe kwanini hukutafuta mchumba wa level yako wakupanda ma basi aina ya kandakhari super najumunisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ashakwambia Mara zote huwa anapanda mabasi kwenye safari zake ila kwenye kwenda kusalimia anataka atumiwe nauli ya ndege
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana! Usikubali Mwanamke akupande kichwani hata siku moja, hapo bado mpo kwenye uchumba tu anafanya hayo, Je ukishamuoa hali itakuwaje mkuu? kwa kifupi Mama mzazi tu ndie u anaweza kumdekeza kiasi hicho na nadhani mama mzazi nae anaangalia na hali halisi maana wao huwa wana uchungu na hela za watoto wao
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hivyo ni vibinti vya kufake maisha yani hicho kitakupa stress achana anacho utakuta unatumia pesa yako yote kikihudumia chenyewe. Ni vile vibinti vinapenda igiza maisha na kwenda na trend za mavazi na simu wakati havina kazi vinategemea mwanaume ndiyo agharamie yani kiko exactly kama ki ex changu cha miaka ya nyuma na hiyo kauli we si mchumba wangu ndo hiyo hiyo.
Narudia tena kiache kabisa uwa haviridhiki kitakuwa pia kina mabwana huko.
Kikimaliza suala la ndege kitataka iphone x max
halafu hapo kinataka kikapge picha kikiwa kwenye ndege kipost instagram kiwakoge wenzake
 
Aache ushamba akimpa nauli ya ndege anakufa.........Love is sacrifice hiyo nimisimamo ya kijinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli ndo mshamba yani ufake maisha umpe mtu nauli ya ndege wakati huwezi kuafford? We unaelewa love ni sacrifice kwa kufanya mambo ya kijinga? Utakuwa unachunwa sana ukiendekeza ujinga na mtu kama una future nawe inabidi aelewa priorities za maisha siyo kuendekeza vitu vya kijinga wakati mshahar wako ni five zeros
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maelezo yako yanachanganya sana, either hii story ni ya uongo au ya kweli lakini umeshindwa kushawishi watu hasa mimi.

Ina maana umeshindwa kujua mfumo wa VIKOBA mpaka uulize hela ya VIKOBA inaendaga wapi?

Umesema una miezi 5, lakini story ni kama vile ni story inayoelezea zaidi ya miezi 8 hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maelezo yako yanachanganya sana, either hii story ni ya uongo au ya kweli lakini umeshindwa kushawishi watu hasa mimi.

Ina maana umeshindwa kujua mfumo wa VIKOBA mpaka uulize hela ya VIKOBA inaendaga wapi?

Umesema una miezi 5, lakini story ni kama vile ni story inayoelezea zaidi ya miezi 8 hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunao acha kuhoji sio km hatujaona huu mkanganyiko ni basi tuu tumeona tusiumize vichwa..
Kuna sehem kasema wakivunja vikoba haoni hela inaenda wapi, alivyoiweka ni kana kwamba wamevunja/gawana zaidi ya mara moja, na amesema wana miez 5, vikoba nijuavyo mm wanavunja mara 1 kwa mwaka,
Hape either tunafungwa kamba, amechanganya sehem au hio ATM yake imemdanganya wanafunga vikoba kila mwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom