Anataka nauli ya ndege

Anataka nauli ya ndege

Yaani hilo ni bomu na ukija kuliweka ndani utajuta,
Vijana mnapaswa kuwa makini sana na hawa wanawake wanaopenda vitu vilivyo nje ya uwezo wao ndiyo wanaofanya ndoa zinakuwa ngumu kweli.
 
Umeniuzunisha sana pesa zote unazo toa umekuwa baba ake, izo huduma ni za kumpa mkeo unakwama wapi, afu eti nyoko nataka nipande ndege walahi kuna watu mna hela
 
Nimeshamfaham huyo dada pole sana baharia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nasoma story yako huku nasikitika, lakini ulipomalizia kwa kutaja "MAMA YAKE NA NDEGE" nimecheka peke yangu. Kwa hiyo mkuu ndege inazaa!!! Ila wewe kiboko kuliko Mamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ni rahisi sana...

Si anataka kupanda ndege, muulize lini anataka kuja...

Ukipata jibu mfanyie booking online... Mtumie ticket ai print apande hiyo ndege...




Cc: mahondaw
 
Mkuu tunao acha kuhoji sio km hatujaona huu mkanganyiko ni basi tuu tumeona tusiumize vichwa..
Kuna sehem kasema wakivunja vikoba haoni hela inaenda wapi, alivyoiweka ni kana kwamba wamevunja/gawana zaidi ya mara moja, na amesema wana miez 5, vikoba nijuavyo mm wanavunja mara 1 kwa mwaka,
Hape either tunafungwa kamba, amechanganya sehem au hio ATM yake imemdanganya wanafunga vikoba kila mwezi.
Mimi nimemuelewa tofauti na nyie labda. Nilivyoelewa anaonhelea vikundi vya kinamama wanaoweka hela pamoja na kupeana mmoja mmoja wakiita kumtoa mmoja. Sasa wa kwake anapopokea mgao wake "nothing on the table".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize kwani yeye ameshawahi kupanda ndege kwa kulipiwa na wazazi wake mara ngapi?
 
Anasafiri kwa ndege...

Wewe unafanya booking kabisa... unamtumia ticket yake...



Cc: mahondaw
Ndo asilolitaka hilo... we mtu uchumba tu kaanza madai ya aina hiyo.. huyo akiingia kwenye ndoa halafu umwambie sina hela ya wigi si atakupeleka ukasutwe huyu..!!
 
Mkuu acha ubahili,. We tuma hiyo hela halafu akipanda ndege atakaa siti moja na Toto la kishua na hawez goma kutoa namba na asipojiangalia siku hyo hyo tukio la kimasihara litatekelezwa

Mkuu kila mwanamke unayemuona yupo kwenye level fulan bas jua anapandishwa na watu wengi so ww hapo ni Kama daraja la kumfikisha kwenye hadhi ya wanaume wanaopanda ndege tu na sio vinginevyo kwa msemo wa uswahilin tunasema wewe ni mbuzi wa kafara lazma upewe majan ili usife Ila swala la kuchinjwa halikwepeki
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Standard yake ikoje, nyumbani kwao wapo njema? Asije akawa amezoea kupanda ndege halafu wewe huwezi kumpandisha.

Kama nyumbani kwao wapo vizuri, mweleweshe kwa upole. Kama analazimisha mambo na kwao hawapo njema, mpige chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.
Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hukupaswa kugombana nae.

Ungemwambia tu ndege zina corona virus hivyo akipanda usalama wake utakuwa hatarini. Period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom