Anataka nauli ya ndege

Anataka nauli ya ndege

Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.

hahahaha umefanya maamuzi safi sana. umenikumbusha single mother mmoja nilikuwa namgegeda bwana wee nae alitaka ticket ya ndege nikamwambia hilo halipo, bi mkubwa wangu mwenyewe sijaweza mpandisha ndege nikupandishe wewe kisa papuchi, ah nikapiga chini japo kwa kweli yule single mother alikuwa anajua kugegedana na mtamuuu.
 
Jamani mtumie tu kama unayo, ukute hajawahi kupanda.
 
Uchumba una miezi mitano ila huwa wanaenda kuvunja vicoba.. Wanavunja kila mwezi? Nashawishika kuamini hii ni chai
 
Yaaani nana,kwa ndegeee nilimbomoa pindi natoka australia,masomoni
 
We inaonekana umesha mzimikia huyo dem sasa umekuja kulialia hapa ili usikie watu wanasemaje.

Usiwasikilize watu humu,we mlipietu ndege uokoe penzilako.

Ukijifanya kauzu wakati unampenda, watu wata mng'oa, watamlipia ndege na hapo ndio utaanza kutembea kila duka kuulizia bei ya kamba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
aroo,hapo ni uchumba tu unapelekeshwa hivi,ukimuoa itakuaje sasa?
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.
Sasa huyo mchumba huoni kuwa hafai kuoa!!! We mpotezee kama anataka maisha ya juu atafute wanaume wengine, na wewe usihofu wasichana ni wengi sana wanaohitaji kuolewa
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.
Mnawaokotaga wapi hawa. Si ajabu ana babu huko mkoani mfanyabiadhara wa Mchele au Mbao au kahawa ndiye anafaidi. Wewe endelea kutuma pesa ya vicoba utakuja kulia humu. Sisi tutakupa pole tu.
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.
Mnawaokotaga wapi hawa. Si ajabu ana babu huko mkoani mfanyabiadhara wa Mchele au Mbao au kahawa ndiye anafaidi. Wewe endelea kutuma pesa ya vicoba utakuja kulia humu. Sisi tutakupa pole tu.
I feel her if she's not pretending.... First time nasafiri kwa bus ilikuwa from Dar to Dom nilifka naumwa, (kichwa, makalio,miguu imevimba) in short yalikuwa ni mateso.
Una afya mbovu na wewe. Kupanda gari tu unaumwa mpaka unataka kufa maisha yataenda kweli. Je kutembea si utalazwa ICU. Kifupi tu mimi siwezi kuoa au kushauri mtu aoe mwenye afya mgogoro. Utashinda hosp kila wakati na raha ya kuoa itapotea na utajuta. Mambo ya upendo wa AGAPE tumwachie Yesu.

Nilimtema demu alikuwa na Asthma.
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.
Sasa na wewe ni mwanaume kweli mambo yako na mchumba wako unaleta JF? Ndiyo maana tunaitwa Mwanaume wa Dar!! Hao ni mambo ya kuongea wanawake wakiwa Salon. Kijana huku leta mambo yanayohusu kupambana na maisha siyo mambo yako na mchumba wako!
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.
Mmh jamani hayo si mambo tu yakuzungumza, Mnaweza mkapanga aje mwezi gani mkafanya booking yenu mapema na gharama ikawa chini yani mnayoweza kuimudu kabisa. Kwasababu kuna mikoa mingine ukitaka kuja dar ni unakaa zaidi ya masaa 17 unafika uko hoi kama umeburuzwa hata kuongea huwezi, sasa hapo hata kuna raha kweli ya kuja kumuona bby maana inakuwa kama adhabu.
 
Habari wana jamvi, heri ya pasaka kwenu.

Jamani maisha haya basi tu, nna mchumba wangu mdada mmoja hivi yupo mkoani na uchumba wetu una kama miezi mitano, sasa mimi huwa naenda sana kumuona huko mkoani na mara zote huwa natumia usafiri wa bus kutoka Dar kwenda huko anapokaa(mkoani). Tatizo lilianza pale alipo sema anataka kuja kunisalimia dar, nikamkubalia poa lakini akanipa masharti kwamba hawezi kupanda Bus kwaiyo anataka nimtumie nauli ya Ndege, ukweli kwa kipindi hicho nauli ilikua juu sana, nikamwambia sina hela afanye aje na Bus tu akajibu hawezi banda Bus maana akipanda huwa anahisi kuumwa, nikamwambia basi asubiri nipate hiyo nauli ya ndege!, amesubiri ameona miezi inaenda hela hatumiwi, akaamua kuniambia nimpe niliyo nayo yeye ataongezea nikamwambia kila siku anapanda mabus leo inakuaje asipande akanijibu wewe ni mchumba wangu na unafanya kazi siwezi panda bus wakati wewe upo, nikamwambia mimi sitafuti pesa kwa ajili ya kupanda ndege na kuigiza maisha , baada ya kumwambia hvyo akaninunia kama wiki moja hivi, badae akaanza kujiongelesha tena, sasa juzi kakumbushia tena, anataka kuja kunisalimi Pasaka na anaitaji nauli ya Ndege nikamwambia msimamo ni ule ule sina hela, baada ya kumwambia hvyo alituma msg ndefu sana anaeleza jinsi anavyo lipambania penzi letu na kulijenga, nikamjibu tu kama nauli ya ndege inajenga penzi basi bora libomoke tu ila hela ya ndege sina.

Nimenuniwa tena, nikaona napata pressure bure nimemwambia motive yake nimeiona anatafuta sababu na asitumie nguvu nyingi anaweza fanya maamuzi yoyote mapema na nipo tayari kuyapokea.

Ukiacha haya mambo kila ijumaa huwa namtumia hela ya vikoba hapo acha vocha na hela nyingine na huwa sioni hela yake ya vikoba inapo enda wakigawana huwa ananiambia tu tumevunja kikoba wiki iliyo pita ila hela sioni hata akifanya biashara inshort hela yake haionekani.

Pia kinacho mpa kiburi ni kwamba mama angu anamkubali sana, sasa kupitia hicho kigezo anadhani amenikamata.

KWA KIFUPI NIMEMWAMBIA HAKUNA NDEGE WALA MAMA AKE NA NDEGE APAMBANE KWA HALI LIYO ANAYO SIPENDI UPUMBAVU MIMI.

Pasaka njema.


Kaka huyo sio mchumba ni mlupo.
Ana pepo la kufilisi.
Atakushauri maendeleo na kubana matumizi au ndio atazifyeka unazozitafuta?
Shtuka mapema na kumbuka nyota njema huonekana asubuhi.

Kwa kifupi akili yake iko kwenye kuchuna mode
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom