mandingo6262
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 424
- 82
Sorry dada double K, hivi unazo K mbili au jina tu? naomba kujua!Hakufai kabisa
sorry dada double k, hivi unazo k mbili au jina tu? Naomba kujua!
Kwanza mmepima?
How is Dar Es Salaam,,,,I will be back there soon and meet those healthier comrades.
TAZAMA RAMANI!
1. Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
Kwanza mmepima?
Sorry dada double K, hivi unazo K mbili au jina tu? naomba kujua!
Nina rafiki yangu wa kike ambaye nimefahamiana naye miezi saba iliyopita,ambaye tumekubaliana kuoana.Kwa kipindi chote tumekuwa tukitembeleana na kuchat bila kufanya mapenzi.Hivi karibuni tumeanza kufanya mapenzi.Lakini kila mara amekuwa akinilalamikia kuwa simfikishi safari yake.Chakushangaza wiki iliyopita ameniambia kuwa ili nimfikishe safari yake basi nimfanye kinyume na maumbile kwa kuwa ndivyo alivyozoea lakini mimi sijawahi kufanya hivyo.Je mnanishauri nifanyeje?
Kwa hiyo wewe ndiyo unayeiweza hiyo kazi ya laana?mlete nikusaidie naona kazi huwez