*Anataka mambo ya pwani*

Hahaha, kaka usije ukawa unatuomba ushauri na kumbe ushafanya maamuzi na kudumbukia topeni!!!!!!!!!!!

Kama haujadumbukia basi its better ukajitoa kwanza tangu mjuane ni miezi saba wewe ushafika na unaona anafaa kuwa mke jipange aisee mtafute @: bujibuji akupe somo jinsi ya kumpata mke mwema.
 
Siyo kwamba umesha ingia kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa? maana huwa ni watalamu wa kutega rungu liingie bila wewe kujua!!!
 
achana nae ....usipofanya anavyotaka atakwenda kupata nje mwisho wa siku utakuwa mshika pembe
 
je wewe upo tayari kuendelea na demu aliyezoea kufanywa nyuma. Mimi siwezi hata awe amezoea kufanywa mbele siwezi. Kwa sababu nikiendelea nitakua najiuliza je! aliemzoeza ni nani? na yuko wapi?
 
Dah! umenikumbusha mbali sana bubu, ahsante sana kwa hii nyimbo kwn ubeti wa tatu nilikuwa nimeusahau kbs, kama naiona shule yangu iliyokuwa imejengwa kwa udongo na darasani tunakalia mawe
 
Achana nae. Atakuingiza kwenye DHAMBI KUU ambayo inamghadhabisha sana Mungu
 
Duh mkuu una kazi.. kwanza hakufai kabisa, pili ukiendelea kumng`ang`ania kama humli tigo hakika atatafuta wa kumla tigo, so kama ataendelee kukupenda, wewe utakua unakomaa na mbele kumridhisha, ukimaliza huyooo anaenda kugawa tigo kwa mwigine yani hiyo ni lazima, mtu aliyezoea kuliwa tigo ni kama mtu aliekula nyama ya mtu, hataridhika mpaka aliwe tigo.. USHAURI WANGU.. ACHANA NAE, SIJAJUA WEWE NI DINI GANI ILA HIYO NI HDMBI HATA KAMA UNAMLA TIGI MKEO, BIBILIA INASEMA WAFIRAJI NA WAFIRWAJI NA WALAWITI HAWATAURITHI UFALME WA MBINGUNI, soma 1 Wakorintho 6:9,10 NA Wagalatia 5:19-20
 
ACHANA NAE, SIJAJUA WEWE NI DINI GANI ILA HIYO NI DHAMBI HATA KAMA UNAMLA TIGI MKEO, BIBILIA INASEMA WAFIRAJI NA WAFIRWAJI NA WALAWITI HAWATAURITHI UFALME WA MBINGUNI, soma 1 Wakorintho 6:9,10 NA Wagalatia 5:19-20
 

"ampakuaye mwenzie naye vivyo hivyo atapakuliwa", hakika akili ni nyewele na kila mtu ana za kwake.
 
Sasa cha ajabu kipi hapo, mtimizie anachohitaji kama hauwezi waachie wengine wanaoweza. Simple n' Clear kila m2 kwa raha zake arifuu.
 
wakubwa tukemee dhambi kwa nguvu zote hili ni pepo baya sana, imani zote zinapinga hii ya kwenda kinyume na maumbile, naomba kwanza utubu na mwache azikuambukize pepo la laana mbaya,
vijana wenzangu wa wabongo huu sio utamaduni wetu tabia hizi tuzikataa kwa nguvu zote.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…