Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
- Thread starter
- #61
Kama kweli anampenda mwambie huyo jamaa aende akamvishe pete ya uchumba fasta huku akifanya mpango wa kumpeleka kumtambulisha kwa ndugu zake, pia awe nae karibu akimpa ma care A, huyo dada akiona anathaminiwa hatoitoa mimba. Pia nahisi huyo dada aliwahi kuchezewa na wanaume (na player boys) siku za nyuma halafu wakamtenda na ndio maana anawaza kuitoa tu wakati si kitu kizuri.
nashukuru kwa ushauri wako endelevu ndugu yangu nitaufikisha.