Anataka kuitoa!

Baba erick, we una mtoto? awe wa nje, au wa ndani?
Kama unaye, basi utakuwa unajua jinsi mtoto anazaliwa na BARAKA zake...yani mwambie mshkaji atumie mbinu safi na chafu, lakini huyo mwanamke azae!
Alishafanya bongeeee la mistake kupiga kavu.
Mungu kamsaidia, hajapata kama hajapat umeme(ambao angeweza upata)...basi huyo MTOTO atayekezaliwa ni zaidi ya nyota njema kwake.
watoto ambao wanatakaga kutolewa,wakiacha wakazaliwa hubeba BARAKA za ajabu,,,ASIKIAE NA AFAHAMU!
Hii mkuu imekaa kimazingaombwe sana, yaani sijui unaweza kuithibitishaje?
 
sometimes don assume that we are as you assumed! This matter is very serious so don think that i am wasting your and my time doing nonsense. It is a serious matter let us help him unless otherwise i wl provide u with his phone number.Labda nimekuelewa vibaya ila tambua education, civilation and love are different and complex aspects of life. I am very sorry for this broken writing.
yessssssss, there you are now! bring it quick. i want to know such a young man who waste himself with bar maids. i am still not convinced about the whole issue coz i am trying to figure out the age of the lady which must be less the age of the boy and comparing with her decisions she must be an experienced bitch.
 
aendelee kumsihi asitoe ila aombe Mungu aishikiie isitolewe.
Pia asioe eti kisa mimba atajuta na huyo ni baa maid,je yupo tayari kuvumilia kulea mtoto wakati mkewe yupo baa usiku saa 6?
istoshe Mungu hupanga ndoa na sio mimba so ni vyema aombe msaada wa Mungu,halafu huyo mttoto tumboni kama Mungu kapanga azaliwe huyo dada anajisumbua na haitatolewa ila kama c mpango wa MUNGU BASI ITATOEWA,So instead of sitting down kuwaza hili na lille nayeye ndio kwanza 24yrs kaukimbilia ukubwa mana yeye ndio provider hapo no bora amtwishe Mungu atamsamehe na kumpa akili mpya.
 
Watu manunda wanachukuwa barmeid bila kinga yoyote mpaka anampa mimba.
Jamaa yako kweli ni shujaa
 
Duh hii elimu bado sana m2 unapiga kavu kavu yaheeee hi ki2 mwana haramu.... mwambie kama yuko tayari aoe ili mtoto azaliwe ndani ya ndoa
 
aendelee kumsihi asitoe ila aombe Mungu aishikiie isitolewe.
Pia asioe eti kisa mimba atajuta na huyo ni baa maid,je yupo tayari kuvumilia kulea mtoto wakati mkewe yupo baa usiku saa 6?
istoshe Mungu hupanga ndoa na sio mimba so ni vyema aombe msaada wa Mungu,halafu huyo mttoto tumboni kama Mungu kapanga azaliwe huyo dada anajisumbua na haitatolewa ila kama c mpango wa MUNGU BASI ITATOEWA,So instead of sitting down kuwaza hili na lille nayeye ndio kwanza 24yrs kaukimbilia ukubwa mana yeye ndio provider hapo no bora amtwishe Mungu atamsamehe na kumpa akili mpya.

nashukuru sana ndugu yangu nimekuelewa na hapa tatizo wamekosa hofu ya mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom