nimefka sehemu ya 75 lkn mbona haijaisha mama..nimeperuzi page zote 45Hahhaha hivi mpaka tunaachana ilikua saa mbili ile au saa nne deni usiniambie umeimaliza yote
Ila hawa "viumbe" hawa ...basi tu Mungu linda mikono yang isitype yaliyo moyoni wala kinywa changu kuyazungumza..nimelia na nimepata somo kubwa sana jananimefka sehemu ya 75 lkn mbona haijaisha mama..nimeperuzi page zote 45
Bado inaendelea tupo kwenye arosto nahisi week hii nitaendeleanimefka sehemu ya 75 lkn mbona haijaisha mama..nimeperuzi page zote 45
"Imagine unampa nyama anakula akimaliza anatoka nje kwnd kula mifupa"Ila hawa "viumbe" hawa ...basi tu Mungu linda mikono yang isitype yaliyo moyoni wala kinywa changu kuyazungumza..nimelia na nimepata somo kubwa sana jana
Nakuombea ustype kabisaIla hawa "viumbe" hawa ...basi tu Mungu linda mikono yang isitype yaliyo moyoni wala kinywa changu kuyazungumza..nimelia na nimepata somo kubwa sana jana
"Imagine unampa nyama anakula akimaliza anatoka nje kwnd kula mifupa"Ila hawa "viumbe" hawa ...basi tu Mungu linda mikono yang isitype yaliyo moyoni wala kinywa changu kuyazungumza..nimelia na nimepata somo kubwa sana jana
ahaa.sawa usisahau kuniita....ita "Jackieeeeeeeeeee"😀😀😀nakuja fastaBado inaendelea tupo kwenye arosto nahisi week hii nitaendelea
sawa madamNakuombea ustype kabisa
Sijaona aliposema ndoa zaidi ya kuamua kuishi pamoja...Kasema ni NDOA babu, au!???
Hapa uko kiofisi au kazi binafsi?Hebu funguka dada Jackie...
Haya material uliyomwaga hapa unaweza ukatunukiwa PhD ya ubanguzi wa korosho. Ni wewe umeandika au umemnukuu mama Maria Nyerere?Inawezekana ile namna ulivyomwambia mkimaliza mahesabu yako muhamie yake ndio imemkera...labda sio kwa namna ya upole na kistarabu
Wanaume wanapenda kubembelezwa/kuelekezwa kwa zile sauti romantic/kiupole fulani hivi
Naomba unitunuku hiyo PhD manake nimeandika mwenyewe bila ya kugelezea kwa mtu yoyoteHaya material uliyomwaga hapa unaweza ukatunukiwa PhD ya ubanguzi wa korosho. Ni wewe umeandika au umemnukuu mama Maria Nyerere?
Dah hakyamama wewe ni ka jiniazi ka karne. Ntakuja unifundishe kupanga mistari ya material ya MMUNaomba unitunuku hiyo PhD manake nimeandika mwenyewe bila ya kugelezea kwa mtu yoyote
Material yote nipo fit ila sio siasani tuDah hakyamama wewe ni ka jiniazi ka karne. Ntakuja unifundishe kupanga mistari ya material ya MMU
Mhh This is interesting...NDOA ndoa kabisa!
Ila hapo tuangalie HISTORIA:
Kabla ya NDOA yenu naamini mlikuwa na kipindi cha urafiki/uchumba,
- je, wakati huo alikuwa akikuhudumia kwa lolote? (mf. nguo, zawadi zawadi, nk)
- je, mliwahi kuzungumzia mapato yenu na jinsi gani mtaishi iwapo mkioana? Kama ndiyo, mlikubalianaje na makubaliano hayo yana tofauti gani na mnavyoishi sasa
- je, kuna mambo/miradi ambayo mnaendelea nayo na yeye ndiyo anasimamia peke yake?
Twende kwenye jambo lingine..COMMUNICATION:
Kuna wadau wawili watatu wamezungumzia lugha/tone ya mawasiliano. Kihalisia WANAUME ni viumbe wenye EGO. Ni kweli, kuna baadhi wamepata busara ya kutambua udhaifu wao huo na hata mwanamke amjibuje anaweza kuzuia ego yake isiathiri utendaji wake. Lakini, ni wengi ambao ego hii imewaathiri. Hapa naongea tu randomly na TAFADHALI usione kama ninakuhukumu au kukutuhumu kuwa ndivyo unavyofanya.
Lakini, ukijua jinsi ya kucheza na akili ya mwenza wako..utapata mengi mema ya nchi. Na siri hiyo haianzii kitandani..inaanzia kwenye ulimi wako. [kwa kuongezea ni ULIMI - JIKONI - KITANDANI]
Hapa naongea pia na wanaume wenzangu, siku zote ukiishi na mwenza wako kwa ushindani mtaendelea kugombana TU na kuonana wabaya.
Naombeni ushauri wenu....
Naishi na mwanaume kabla sijawahi nae nilikua nina kipharmacy kidogo ambalo lipo mpaka leo ila tofauti ni kwamba tulipoamua kuishi pamoja nilimfata mkoa mwingine ambapo sio mbali sana na duka lilipo hivyo nikalizimika kuweka mtu wa kuniuzia ambapo hua naenda kumkagua mara kwa mara
Mwenzangu ameajiliwa serikarini anapokea hela nzuri nadhan mara 2 au 3 ya kipato changu jamaa jana nashangaa gafla tu anataka tupige hesabu ya mapato ya duka langu naingiza ngapi faida kwa mwezi mi sikukataa ila nikamwambia tukimaliza kupiga kwangu tuje na kwenye mshahara
Nimemwambia hivyo sababu hajawai kuniambia mshahara wake wala matumizi ya mshahara wake sijui akitoa hela ya matumizi basi na mara kwa mara anatuma hela kwao bt sijawahi kumuumiza chochote sasa nilivyomwambia tupige hesabu dukani na mshahara kanuna tangu Jana hana raha na mimi ananisemesha penye ulazima tu
Je nimekosea kumwambia hivyo?? maana kama matumizi natoa maana tuliwekeana kila mwezi tuna ac ya familia ye anaweka laki 4 mi naweka 2 kwa ajiri ya matumizi ya badae bado nikiona vyombo vizuri, mapazia, shuka yan vitu vidogo vidogo na nunua mbali na hela niliyosave tangu kanioa nguo najinunulia tu mwenyewe sasa nimekosea wapi ndugu zanguni?