MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Anahitajika haraka sana mtu yeyote ambaye ni mtaalam wa Joomla CMS.
Kama wewe ni mtaalam na una nafasi ya kutosha kufanya kazi nasi, tutaelewana. Kinachohitajika ni taaluma yako ambayo itakuwezesha kutoa mchango wako kwa jamii yako ya Watanzania inayokuhitaji.
Muhimu: Uwezo, nafasi na taaluma ndio vigezo vitakavyokuwezesha kuipata nafasi hii adimu.
Nipigie: +255071-5019119.
./Mwana wa Haki
Kama wewe ni mtaalam na una nafasi ya kutosha kufanya kazi nasi, tutaelewana. Kinachohitajika ni taaluma yako ambayo itakuwezesha kutoa mchango wako kwa jamii yako ya Watanzania inayokuhitaji.
Muhimu: Uwezo, nafasi na taaluma ndio vigezo vitakavyokuwezesha kuipata nafasi hii adimu.
Nipigie: +255071-5019119.
./Mwana wa Haki