Anasema nimuhudumie kila mwezi

Anasema nimuhudumie kila mwezi

Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
Penzi la kununua. Hongera sana.

Ila 20,000 si kitu sema hela huna tu. Kwahiyo bwana mdogo chagua 1 mapenzi au ulie njaa.
 
Soma janja huyo mkimaliza anachukuliwa na jamaa mwenye maisha safi anaolewa(japo inaweza isiwe hvyo).
Usingoje umalize chuo ndio uanzishe kabiashara, anza sasa hata usipoitoa hiyo 20k atakuelewa kwa kuwa ataona kuna kitu unafanya for future.
 
  • Thanks
Reactions: aad
Kwani kuwa kwenye mahusiano na kusoma kuna Uhusiano gani mkuu.

Nitadisco au kucarry kwa mambo mengine lakini sio mapenzi.

Ishiri unalialia haya akibeba mimba sindo utachanganyikiwa kabsa. Ww jiwekee kila mwenzi elfu tano unakula mzigo mara moja.kwanza chuoni wapo wengi tu wanatoamizigo bure.tatizo lako unataka viwangoo ndio maana unadaiwa na ada za mwenzi
 
  • Thanks
Reactions: aad
Wakuu poleni na hongera katika shughuli zenu za hapa na pale

Sasa nimekuja kwenu, mnishauri mimi kama kijana wa kiume nisie na kazi na bado nawategemea wazazi kwa kuwa bado ninasoma

Iko hivi niko kwenye mahusiano na msichana kwa muda ambao ni kama miezi miwili tu.

Yuko chuo na mimi pia nipo chuo.

Sasa kilichonifanya kuja kwenu, anadai natakiwa niwe ninampa pesa ya kusuka kila mwezi kiasi cha sh 20,000 taslimu.

Na akaongezea ya kuwa kama sitampa hiyo hela hakuna mapenzi kwa sababu, haiwezekani niwe namtumia tu alafu nisiwe ninampa hela.

Isitoshe yeye anao mkopo na mimi ninao mkopo.

Lakini mimi sikai ndani ya chuo nipo nje nimepanga, nikipiga gharama za kodi na michango mingine kiukweli sitaweza toka na chochote katika pesa hii ya Boom.

Maana najitahidi nisave angalau visent kadhaa ili nikirudi kitaa nipate pa kuanzia.

Nimemshauri kuhusu swala la kukaa wote ili angalau tusave walau kiasi fulani, ili hapo baadae tuweze anzisha hata kabiashara, kama ikishindikana kuanzisha pamoja bhasi, kila mtu ataanzisha mradi wake na kama tuna malengo ya kweli tutaweza fika mbali, ukizingatia sasa hivi ajira ni changamoto.

Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, Je hapo mimi kama kijana, ninae soma na kutegemea wazazi

Natakiwa nitoe 20,000 kila mwezi, nikishindwa nimeambiwa kutakuwa hamna mapenzi. Yatabakia ya mdomoni tu na mwisho yatakufa kabisa.

Ushauri wenu wakuu katika hili.
kaa 20000 kila mwez demu gan wa bei rahisi ivo! shukuru huyo anakuhurumia na ww
 
Tafuta mwanamke wa kawaida tu tena wala ambao sura ni mbovu ndio wanakuaga moto uko chini na bado utaichoi penzi alafu tumia kinga au msome kalenda acha UBOYA ww
 
Dogo hiyo 20,000 kakusaidia sana. Kwa changudoa hiyo ni bei ya bao moja tu lakini wewe mwezi mzima unakojoa kwa 20,000 tu. Nakushauri toa haraka sana bila hata kukumbushwa kabla hujaachwa. Ukiachwa kwa mwezi utakuwa unatumia 200,000 na hutashiba maana utakuwa unapewa kwa kupimiwa.
 
Acha nguvu zote nihamishe kwenye kitabu sasa na kusaka hizo pesa, simtafuti tena maana kasema "nisipompa hiyo hela hamna mapenzi"

Apo ujue tayari kambi ishavamiwa vinaanza vijisababu. Naamini ulikua unajiongeza kama kidume kumhudumia japo kidogo.
 
  • Thanks
Reactions: aad
Back
Top Bottom