Anapost picha yuko na best man

Nawewe post ukiwa na mwanamke mwingine,halafu kaa kimya,akikuuliza ndio hapo utakapoanzisha mada na kumueleza nini unataka na nini hutaki kuhusu hizo picha.
Excellent! Ila akikausha hapo dogo hana mtu, atafute tu hukohuko alipo
 
ushauri wa kwamba??wanaume wa mikoani mnatia kichefuchefu...kama unashindwa kumwambia achange DP utaweza kumwambia akufurie nguo??utatombewa dogo watch your back
Hiyo "Utatombe..." ingesomeka "ushatombe......"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Anza kwa kumsifi 'mpendeza sana" atafunguka tu na kutoa Shaka yako. Inaweza kua ni ndugu yake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…