Anapost picha yuko na best man

Anapost picha yuko na best man

ulikuwa unamtafutia sababu tu huna lolote alafu punguza wivu na kupanic ovyo ovyo utakufa bure.
 
Hii dunia haina siri...kumbe jamaa nawe tupo wote humu? Mimi huyu demu nmemfaham kwenye ile harusi nikamwona yupo single ndo nikamweka sawa .naye kumbe anapenda kampani yangu.ila sema za ukweli alinambia kuwa yeye pia anapenda namwondolea upweke...sasa hayo mengine mi sikuyajua naona unakuja kutoa povu na kutaka kupost picha zangu.

Hapo tunafikishana mbali ...wewe demu anaonekana hakutak.
 
habari ndugu zangu.

Nina binti nampenda sana na nina mpango wa kuishi nae kama mke wangu. Ila mimi na yeye tupo kwenye long distance relationship. Sasa juzi kaenda kwenye sherehe ya dada ake ya engagement.

Ambacho sijaelewa anakaa anapost picha na mojawapo ni ya best man na yeye wako pamoja anaandika caption za kusifia na kaipost mara ya pili sasa. Nashindwa hata nimkataze vipi ndugu zanguni naombeni ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta hela
 
Hii dunia haina siri...kumbe jamaa nawe tupo wote humu? Mimi huyu demu nmemfaham kwenye ile harusi nikamwona yupo single ndo nikamweka sawa .naye kumbe anapenda kampani yangu.ila sema za ukweli alinambia kuwa yeye pia anapenda namwondolea upweke...sasa hayo mengine mi sikuyajua naona unakuja kutoa povu na kutaka kupost picha zangu.

Hapo tunafikishana mbali ...wewe demu anaonekana hakutak.
Sawa mzee baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari ndugu zangu.

Nina binti nampenda sana na nina mpango wa kuishi nae kama mke wangu. Ila mimi na yeye tupo kwenye long distance relationship. Sasa juzi kaenda kwenye sherehe ya dada ake ya engagement.

Ambacho sijaelewa anakaa anapost picha na mojawapo ni ya best man na yeye wako pamoja anaandika caption za kusifia na kaipost mara ya pili sasa. Nashindwa hata nimkataze vipi ndugu zanguni naombeni ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani unamuogopa mpenzi wako?,pengine anafanya hivyo ili we we uwone wivu..umuulize maswali.Mtafute afu umuulize na umwambie hupendi hip tabia
 
kuna viashiria vingi vinavyoweza kukuonyesha mtu uliyenaye hana hisia na wewe,na alichokuwa anakifanya ni kimoja wapo;kwa hiyo anza safari ya kutafuta mtu sahihi
 
Back
Top Bottom