LDA COMPANY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 340
- 633
- Thread starter
-
- #61
Nimeachana nae tu aendelee na maisha yakeutupe mrejesho ukimchana, halafu mtu unataka kumuoa na kwenye matukio kama hayo ya send off za ndugu zake huendi kwa nn watu wasikusaidie malezi ya demu
Nimemuuliza kasema mdogo wa shemeji yake ila anajibu mikato nimeachana nae nisiwaste timeutupe mrejesho ukimchana, halafu mtu unataka kumuoa na kwenye matukio kama hayo ya send off za ndugu zake huendi kwa nn watu wasikusaidie malezi ya demu
That is your perceptionOn the internet you can be anything you want..it's strange that so many people choose to be stupid
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshaachana naeNipe namba yake nimkanye aisee,kwa nini akufanyie hivyo jamani...
Tafuta helahabari ndugu zangu.
Nina binti nampenda sana na nina mpango wa kuishi nae kama mke wangu. Ila mimi na yeye tupo kwenye long distance relationship. Sasa juzi kaenda kwenye sherehe ya dada ake ya engagement.
Ambacho sijaelewa anakaa anapost picha na mojawapo ni ya best man na yeye wako pamoja anaandika caption za kusifia na kaipost mara ya pili sasa. Nashindwa hata nimkataze vipi ndugu zanguni naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mzee babaHii dunia haina siri...kumbe jamaa nawe tupo wote humu? Mimi huyu demu nmemfaham kwenye ile harusi nikamwona yupo single ndo nikamweka sawa .naye kumbe anapenda kampani yangu.ila sema za ukweli alinambia kuwa yeye pia anapenda namwondolea upweke...sasa hayo mengine mi sikuyajua naona unakuja kutoa povu na kutaka kupost picha zangu.
Hapo tunafikishana mbali ...wewe demu anaonekana hakutak.
***[emoji23][emoji23][emoji23]ulikuwa unamtafutia sababu tu huna lolote alafu punguza wivu na kupanic ovyo ovyo utakufa bure.
kwani unamuogopa mpenzi wako?,pengine anafanya hivyo ili we we uwone wivu..umuulize maswali.Mtafute afu umuulize na umwambie hupendi hip tabiahabari ndugu zangu.
Nina binti nampenda sana na nina mpango wa kuishi nae kama mke wangu. Ila mimi na yeye tupo kwenye long distance relationship. Sasa juzi kaenda kwenye sherehe ya dada ake ya engagement.
Ambacho sijaelewa anakaa anapost picha na mojawapo ni ya best man na yeye wako pamoja anaandika caption za kusifia na kaipost mara ya pili sasa. Nashindwa hata nimkataze vipi ndugu zanguni naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishamuacha ndugu.kwani unamuogopa mpenzi wako?,pengine anafanya hivyo ili we we uwone wivu..umuulize maswali.Mtafute afu umuulize na umwambie hupendi hip tabia
Thread closedkuna viashiria vingi vinavyoweza kukuonyesha mtu uliyenaye hana hisia na wewe,na alichokuwa anakifanya ni kimoja wapo;kwa hiyo anza safari ya kutafuta mtu sahihi