luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
Hana heshima, MTU kama yupo kwenye mahusiano inabidi kuwa makini na vitu kama hivyo.
Ushauri, kabla hujafanya maamuzi yeyote umwambie direct kuwa hupendi asipobadilika mpotezee ishii kwani ye ndo binti pekee.