BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Just naomben ushauri plz..!ni jambo serious
Ni girl ambaye tuliachana almost miezi 8 ilopita....alianza kiburi....na pia vituko vya hapa na pale so nkaamua kubreak up nae
Lakini chanzo kkubwa cha yeye kuwa jeuri hasa n baada ya mim kutokuw na ajira plus pia malengo kutoeleweka baada ya mzee chuma kuingia madarakan
Baada ya break up nligundua kuw hela pekee ndo itanipa heshima....so nilielekeza akili na moyo wangu kutafuta hela kupitia biashara plus kazi za ziada japo kwa sasa akili nimeiweka zaidi kwenye biashara
Nashukuru Mungu alinionyesha njia kwani kwa sasa biashara inaendlea vizuri tofauti na zaman...hela nazipata...akiba naweka plus nyngne nazungushia kwenye biashara ili kkuza mtaji zaidi
Sasa tatzo huyu mtu ameanza kunitumia text za kunijulia hali...sometimes akisema amenimis...!!sijawah kumjibu kwa ukali...!!but kila nikipokea text kutoka kwake hua nakumbuka alonfanyia so kichwa knapoteza concetration n kuanza kfkiria yote alonfanyia na si malengo yangu
Mfano jana kanipigia simu akisema kuna assignment wamepewa chuo so alitaka nmsaidie mawazo...!!amenivuruga kabisa maana nilibadilisha namba but ameipata na hii mpya...!!ni kweli nilikuw nampenda saana...!!kwa nlvokuw nkimuona mpole na alonfanyia....chuki inajaa kchwan
Msaada wa mawazo ndugu zangu!!...thanks in advance
Ni girl ambaye tuliachana almost miezi 8 ilopita....alianza kiburi....na pia vituko vya hapa na pale so nkaamua kubreak up nae
Lakini chanzo kkubwa cha yeye kuwa jeuri hasa n baada ya mim kutokuw na ajira plus pia malengo kutoeleweka baada ya mzee chuma kuingia madarakan
Baada ya break up nligundua kuw hela pekee ndo itanipa heshima....so nilielekeza akili na moyo wangu kutafuta hela kupitia biashara plus kazi za ziada japo kwa sasa akili nimeiweka zaidi kwenye biashara
Nashukuru Mungu alinionyesha njia kwani kwa sasa biashara inaendlea vizuri tofauti na zaman...hela nazipata...akiba naweka plus nyngne nazungushia kwenye biashara ili kkuza mtaji zaidi
Sasa tatzo huyu mtu ameanza kunitumia text za kunijulia hali...sometimes akisema amenimis...!!sijawah kumjibu kwa ukali...!!but kila nikipokea text kutoka kwake hua nakumbuka alonfanyia so kichwa knapoteza concetration n kuanza kfkiria yote alonfanyia na si malengo yangu
Mfano jana kanipigia simu akisema kuna assignment wamepewa chuo so alitaka nmsaidie mawazo...!!amenivuruga kabisa maana nilibadilisha namba but ameipata na hii mpya...!!ni kweli nilikuw nampenda saana...!!kwa nlvokuw nkimuona mpole na alonfanyia....chuki inajaa kchwan
Msaada wa mawazo ndugu zangu!!...thanks in advance