Ananipendea pesa

Ananipendea pesa

mwenda wazimu

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
819
Reaction score
1,283
ACHA KUCHEKESHA ETI OOOHHH ANANIPENDEA PESA

Unaishi nyumba ya kupanga na hata kama umejenga kwa mkopo kudunduliza matufali, una kagari kamkopo au hata ni mtu wa daladala. Akija kwako ukijitahidi sana umempa hela ya Bajaji sana sana utaongezana naye kutembea kujifanya eti mapenzi kumbe ubahili.

Ukimpeleka gest umejitahidi sana elfu hamsini. Halafu kakuomba hela ya saluni unaanza kujishaua ooohh huyu dada anapenda hela oooo hana mapenzi ya kweli anapenda hela tu. Uanchekesha ndugu yangu kwa hela zipi ulizonazo!

Yaani mtu unajiunga Bando la Chuo wakati ni MHENGA halafu uansema unapendewa pesa. Unasema oohhh anataka kuhongwa ndugu yangu ndugu yangu, tofautisha kuhonga na kuhudumia na acha kujipandisha namna hiyo.

Kama hujawahi mnunulia mwanamke Gari unatoa hela ya Bajaji jua wewe huhongi unahudumia, unatoa tu huduma ya usafiri basi. Kama hujawahi mnunulia Brazilian ya milioni moja na laki mbili ndugu yangu wewe ile elfu thelathini ya saluni huku honga ulihudumia.

Kama akikuomba laki mbili ya msibani unatoa elfu ishirini na unataka uende kabisa huko msibani ndugu yangu wewe huhongi unahudumia. Hivyo hembu tulia pambana na hali yako acha kumharibia jina binti wa watu kwa kusema ohhh eti anapenda pesa.

Nikuambie kitu huyo Dada angekua anapenda pesa angekua ashakuacha muda mrefu. Mtu kila siku hata hajawaza kukuomba hela ushaanza kulia shida ili usiombwe. Anakuvumilia tu na wewe huhongi bali unahudumia kutokana na huduma unazopewa!

[HASHTAG]#KaaKimya[/HASHTAG]
COPY AND PASTE
 
Kuhonga kuna level mwanamke wa kumhonga tecno..
Kuna mwanamke 50,000 umemhonga 15000 unahudumia.
Kuna mwanamke ela ya daladala umemhudumia ukimpa ya tax umemhonga.
Ndiyo maana nilimuona Dallaz fala alipomhonga Wolper yale magari akampangishia nyumba kali kumbe kipindi hicho hakuwa kafika level za kuhongwa hivyo yani milion 10 ilikuwa ni nyingi angemmilili mwezi mzina na chenji ikabaki
 
Tatizo sio pesa tatizo unatoa muda gani na Mara ngapi kwa siku,... Sasa mtu mmeweka ndege chini tu mzinga mzinga,... Omba ata nshakula kale kamchezo,... Afu sio kulipuana, wengin wanakomoa utasikia, bebe pizza, bebe swimming bebe credo,... Bebe sipandi bajaji Leo sijiskii nataka taxi,afu usisahau nitumie hela ya mama anaumwa,na sijaenda saloon,...afu bebe jioni tukitoka kuna semu nineona gauni zuri kweli wanauza 200000 utanipeleka,.... Gadddaamm
 
Naona Odoemma Neybright Curious gal washanitangulia acha nibaki kimya tu.
Kaa kimya tuu Daby
Maana nilikuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa baadhi ya wanaume wanaopenda kulalamika kuhusu kuombwa pesa kwamba huwa wanaombwa kiasi gani mpaka wajitutumue kuongea shit kiasi kile

Inafikia hatua eti mwanaume anasema yeye kazi yake mgegedo tuu huduma ni jukumu la wazazi wa mwanamke seriously?
Eti huyo naye yupo kwenye kundi la wanaume
 
Back
Top Bottom