Ananipendea pesa

Ananipendea pesa

Yaan wanabalaa ujue, mie nikisoma mawazo yao huwa nahisi wanaume wanapotea kwenye uwanaume wao wanabaki wanaume wachache sana
Wasiojua kuhonga ndio wanaume wanaopetea kwenye uanaume?yaan nyie ni binadam wa ajabu sana ,wanaotimiza mahitaji yenu ndio wanaume?
Suala la mapenz ya dhati kwenu hakuna ni pesa tuu,kufikishwa mt Kilimanjaro sio issue now day Bali pesa tuu ndio issue
Hivi hayo mabwawa yenu mbona hatulalamiki?unakuta mwanamke ananata na mbwembwe kibao ila ukifunua huko unakuta qumma utadhan kachukua na za jirani zake kumbe ni yake pekeee,
Mwanamke mzuri,mvuto,qumma nta,ana haki ya kuhongwa kwani nikiingia mgodini nakuta makinikia saaaafi ila nahonga halafu nakuta bwawa tutagombana aseee
 
Wanaume wa kibongo hawana shukran wabahili kama nini yaan ukipanda tu gari lake tiyar ushampendea pesa, masikini gari lenyewe
 
ww bongolala kwel wanaume cc n
viumbe vya ajab sana tatizo ww
hujawah kupenda unaeza ishi nyumba
ya kupanga lkn ukawa unahudumia
vbaya mno pili hujaw skia mtu anatumia
zaid ya anacho kipata??? mapenz ni kitu cha ajab kk


sent from aifoni seveni plasi
 
Kaa kimya tuu Daby
Maana nilikuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa baadhi ya wanaume wanaopenda kulalamika kuhusu kuombwa pesa kwamba huwa wanaombwa kiasi gani mpaka wajitutumue kuongea shit kiasi kile

Inafikia hatua eti mwanaume anasema yeye kazi yake mgegedo tuu huduma ni jukumu la wazazi wa mwanamke seriously?
Eti huyo naye yupo kwenye kundi la wanaume

Njaa zinakusumbua Neybright
 
Angalieni kwanza jina la mtoa mada Isijekuwa amepandwa na wazimu.......
 
Sidham kama uko sahihi kwenye hio ishu. Utofauti wa kuhonga na kuhudumia uko kwenye FIGURES??? Hapana mdau....m nadhan it depends with the situation u ar in and not the figure. Just re-think.
 
Wasiojua kuhonga ndio wanaume wanaopetea kwenye uanaume?yaan nyie ni binadam wa ajabu sana ,wanaotimiza mahitaji yenu ndio wanaume?
Suala la mapenz ya dhati kwenu hakuna ni pesa tuu,kufikishwa mt Kilimanjaro sio issue now day Bali pesa tuu ndio issue
Hivi hayo mabwawa yenu mbona hatulalamiki?unakuta mwanamke ananata na mbwembwe kibao ila ukifunua huko unakuta qumma utadhan kachukua na za jirani zake kumbe ni yake pekeee,
Mwanamke mzuri,mvuto,qumma nta,ana haki ya kuhongwa kwani nikiingia mgodini nakuta makinikia saaaafi ila nahonga halafu nakuta bwawa tutagombana aseee
Hahahahahah!!! Mkuu umeongea ukweli Sanaaa!!! Hawa watu n selfish sanaaa!!!!! Ndio maan wanaishiwa kumegwa tuu na kutupwaa kule kama gandaa la ndiziiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACHA KUCHEKESHA ETI OOOHHH ANANIPENDEA PESA

Unaishi nyumba ya kupanga na hata kama umejenga kwa mkopo kudunduliza matufali, una kagari kamkopo au hata ni mtu wa daladala. Akija kwako ukijitahidi sana umempa hela ya Bajaji sana sana utaongezana naye kutembea kujifanya eti mapenzi kumbe ubahili.

Ukimpeleka gest umejitahidi sana elfu hamsini. Halafu kakuomba hela ya saluni unaanza kujishaua ooohh huyu dada anapenda hela oooo hana mapenzi ya kweli anapenda hela tu. Uanchekesha ndugu yangu kwa hela zipi ulizonazo!

Yaani mtu unajiunga Bando la Chuo wakati ni MHENGA halafu uansema unapendewa pesa. Unasema oohhh anataka kuhongwa ndugu yangu ndugu yangu, tofautisha kuhonga na kuhudumia na acha kujipandisha namna hiyo.

Kama hujawahi mnunulia mwanamke Gari unatoa hela ya Bajaji jua wewe huhongi unahudumia, unatoa tu huduma ya usafiri basi. Kama hujawahi mnunulia Brazilian ya milioni moja na laki mbili ndugu yangu wewe ile elfu thelathini ya saluni huku honga ulihudumia.

Kama akikuomba laki mbili ya msibani unatoa elfu ishirini na unataka uende kabisa huko msibani ndugu yangu wewe huhongi unahudumia. Hivyo hembu tulia pambana na hali yako acha kumharibia jina binti wa watu kwa kusema ohhh eti anapenda pesa.

Nikuambie kitu huyo Dada angekua anapenda pesa angekua ashakuacha muda mrefu. Mtu kila siku hata hajawaza kukuomba hela ushaanza kulia shida ili usiombwe. Anakuvumilia tu na wewe huhongi bali unahudumia kutokana na huduma unazopewa!

[HASHTAG]#KaaKimya[/HASHTAG]
COPY AND PASTE
Hivi,,, mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke ambao sio mume na mke, ni biasharaaaa,,, au mahusiano. Zamani wahenga walikuwa wakipendana kwa sababu mbalimbali,,,kama ujasiri,, ushujaa,, uhodari wa jambo,,, n.k. suala la pesa,,, sio kigezo,,, maana hakiuzwi. Mhenga anampa mwanamke zawadi kama shukrani,,,,,ila sikuhizi,,,,,mmmhhh,,,,,,kila kitu kinawekwa kwenye commercial terms....pambaneni na hali zenu,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakaini huko tuendako,,, mwanamke atatamani kuwa na mwanaume mstaarabu tu,,,atakula vyake na kuvaa vyake,, mradi tu ajulikane yuko na mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiojua kuhonga ndio wanaume wanaopetea kwenye uanaume?yaan nyie ni binadam wa ajabu sana ,wanaotimiza mahitaji yenu ndio wanaume?
Suala la mapenz ya dhati kwenu hakuna ni pesa tuu,kufikishwa mt Kilimanjaro sio issue now day Bali pesa tuu ndio issue
Hivi hayo mabwawa yenu mbona hatulalamiki?unakuta mwanamke ananata na mbwembwe kibao ila ukifunua huko unakuta qumma utadhan kachukua na za jirani zake kumbe ni yake pekeee,
Mwanamke mzuri,mvuto,qumma nta,ana haki ya kuhongwa kwani nikiingia mgodini nakuta makinikia saaaafi ila nahonga halafu nakuta bwawa tutagombana aseee
Davoo tema mate chini aysee ! Now dayz kufikishwa Kilimanjaro sio issue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli mim napenda kuhonga ila not to extent ya kumaliziana mtaji,... Kwan unauza nn,
Kweli ukizidisha ni ufala tu mkuu. Halafu hawa viumbe hawaeleweki we utahonga sana lakini kuna mwingine ni free pu.mbu tu anagegeda.
 
Back
Top Bottom