Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,056
- 141,865
Hahahaha akili yako unaijua mwenyewe...Mimi tena BAK mimi mwanaume wangu hata kama tuna ugomvi likija swala hilo nampa hata kama nimenuna
Hahahaha akili yako unaijua mwenyewe...Mimi tena BAK mimi mwanaume wangu hata kama tuna ugomvi likija swala hilo nampa hata kama nimenuna
Dogo kunyonyesha kisiwe kisingizio anatakiwa akupe tendo ni haki yakoNaombeni msaada Wa mawazo hivi ni kawaida kwa mwanamke kumnyima mwanaume unyumba miezi mitatu mfululizo kwa kisingizio cha kulea au ndo naibiwa kimya kimya. Naomben ushauri wa ki utu uzima kabla sija mrudisha huyu Binti kwao
Eenh halafu tukimaliza ugomvi wetu unaendelea kama kawaidaHahahaha akili yako unaijua mwenyewe...
Nitaamini vipi kama ni kweli bila kuhakikisha kama kweli upo hivyo...Eenh halafu tukimaliza ugomvi wetu unaendelea kama kawaida
Kweli kabisa, matusi yana mahali pake...Hahaahha niachie smart bwana unajua hajazoea maneno makali hadharani
Ukimaanisha etiNitaamini vipi kama ni kweli bila kuhakikisha kama kweli upo hivyo...
Unataka kumbemenda mtoto?Naombeni msaada Wa mawazo hivi ni kawaida kwa mwanamke kumnyima mwanaume unyumba miezi mitatu mfululizo kwa kisingizio cha kulea au ndo naibiwa kimya kimya. Naomben ushauri wa ki utu uzima kabla sija mrudisha huyu Binti kwao
Mkuu anza kuamin kdogo kidogo Mwanamke utamfaidi ukiwa hauja muoa ukiisha muweka Ndani tu akaanza kuita nyumba yako yake basi umeishaNdoa ngumu hiv kumbe
HahahahahaKweli kabisa, matusi yana mahali pake...
Hahaahha niachie smart bwana unajua hajazoea maneno makali hadharani
Vitendo basi ili niamini...Ukimaanisha eti
Hahahhha kweli bwana
Ngoja nianze basiVitendo basi ili niamini...
Kweli kabisa, matusi yana mahali pake...
Utaanza lini kuniaminisha...Ngoja nianze basi
Dr mpe ushauri ulonyooka lasivo mtampoteza mwenzenu asije enda fukuza mtoto wa watuHata ivo wanawake wengi mara baada ya Kujifungua miezi mitatu ya mwanzo
Hupoteza hamu ya Ngono nahii ni sababu vichocheo vya ngono vinakua vipo chini sana.
Badala yake hujikuta mapenzi wanahamishia kwa watoto wao.
Lkn pia, Inaweza kua mtoto sio wako. Mf mtoto anamiezi zaidi ya sita. Lkn mtu anakunyima unyumba katukatu..haaaaa Changamka.
Sasa sijui ww unaangukia wapi Ndugu...nani anajua???