Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Yaani akunywe manii yake?Kama hana complications za uzazi inabidi akuonee huruma kwa mbaaali.
Mwambie awe anakunyonya
Yaani akunywe manii yake?Kama hana complications za uzazi inabidi akuonee huruma kwa mbaaali.
Mwambie awe anakunyonya
Ushauri mzuriYote yanawezekana, unfortunately wanaume almost all tuliooa hakuna supply ya tendo la Ndoa inavyotakiwa!
Ndugu yangu, nenda naye taratibu! Inawezekana kabisa ni mwaminifu ila maisha yanamfanya hivyo!
Jaribu kuboresha:
1. Urafiki na yeye - usiwe mtu wa lawama.
2. Usiwe unagomba gomba bila sababu!
3. Kama hana kipato usimbane sana!
4. Wakala wazazi na ndugu zake!
5. Mpende na msaidie issue za watoto!
Ukiyafanya haya kwa uaminifu asipobadilika jua wahuni Wanamla!
Sio tamaduni Mkuu, hata km ukiruhisiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,kwa usawa huu wa uchumi utaweza kuwatunza??,km sio watu wengine kukutunzia?.Ndio matatizo ya kuiga tamaduni za kizungu na kuacha Tamaduni za kwenu,angalia sasa ungekuwa una wake 2/3 ungekuja kulia lia humu.
Heee makubwaMwanamke akijifungua mpe miezi minne ya mapumnziko, mwanaume akili kichwani, kwani hakuna vischana nje huko unaweza kupunguza ugwadu ili kuweka utulivu kwa mkeo. Mm kajifungua leo mwaka mzima na miezi mingi tu sijamgusa toka siku alipobeba ujauzito
Yaani watu wana waume wavumilivu mie wangu alivumilia week mbili tu baada ya hapo nikashindwa kuendelea alikua anatia huruma.Mmmh huku ni kumtesa mtoto wa watu (mume) mtoto kutembea si miezi 8 kama kawahi sana wanaenda hadi mwaka, muda wote hiyo mtu hapewi haki yake??? Sio poa wanawake muwe na huruma
Hakunaga kipindi mwanaume anatia huruma kama akiwa anaomba papuchi, halafu sasa umnyime daaah..... inatia huruma!Yaani watu wana waume wavumilivu mie wangu alivumilia week mbili tu baada ya hapo nikashindwa kuendelea alikua anatia huruma.
😀😀😀😀😀Hakunaga kipindi mwanaume anatia huruma kama akiwa anaomba papuchi, halafu sasa umnyime daaah..... inatia huruma!!!
Kabisa kabisa BinamuKuna vitu vinahitaji utulivu ili kujiridhisha juu ya wasiwasi wako, kama kabla ulikua unapewa vizuri subiri huo muda wa kulea upite(km anajali huwa anajua afanyej ili usikereke)na km kun sababu zingine mda utaongea