Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 715
Wanawake wengi huwa hivo wanasema wanaogopa kubemenda mtoto hasa kwamtoto wakwanza vumilia mara nyingi ndoa.nyingi wakuti huu ndio huwazinaharibika uzoefu wangu nikwamba tatizo huwa tendo tu yani hata mda naww unaweza usiwepo kichwani kwako kaa najambo moja tu kwamba analea zaid yahapo utachochea moto