Anamwambia Nini?

Ni maoni yake NASARI kosa liko wapi.
Turudi kwenye mada, "uko kituoni unakua unalala na nani'?
 
Nassari juzi ametangaza kuwa anaepingana na Magufuri atakuwa ni kichaa. Atakuwa msaliti huyu
Michezo ya siasa ni migumu, hapo alikuwa anamlainisha kiranja mkuu ili afanikishe miradi yake, ulitaka amponde live? Mara nyingine unatakiwa kuwa mjanja mambo yaende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…