Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 628
- 1,644
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.
Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!
Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!
Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.