kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Hii ni kwa msaliti yeyote aliepo popote mkuuManina nani mkuu? Mimi au Nasar au Lema?
Hii ni kwa msaliti yeyote aliepo popote mkuuManina nani mkuu? Mimi au Nasar au Lema?
mkuu,kiongozi wa kweli unapaswa kusimama kwenye ukweli badala ya kuwa mnafiki..trust me hilo limemshushia CV na watalitumia wapinzani wao hapo baade.Infact ni kinyume na kile wenzake wanachoamini na kupelekwa mahakamani.Amewavua nguo kina Lisu,Mbowe, Lema na wengine ambao wana kesi au migogoro na serikali kwa. Angalia jinsi magazeti yalivyooandika hasa gazeti la chama.Michezo ya siasa ni migumu, hapo alikuwa anamlainisha kiranja mkuu ili afanikishe miradi yake, ulitaka amponde live? Mara nyingine unatakiwa kuwa mjanja mambo yaende
Nalielewa hilo,pointyangu nikuwa wanasiasa wanapenda kuangalia maslahi yao pekeemkuu,kiongozi wa kweli unapaswa kusimama kwenye ukweli badala ya kuwa mnafiki..trust me hilo limemshushia CV na watalitumia wapinzani wao hapo baade.Infact ni kinyume na kile wenzake wanachoamini na kupelekwa mahakamani.Amewavua nguo kina Lisu,Mbowe, Lema na wengine ambao wana kesi au migogoro na serikali kwa. Angalia jinsi magazeti yalivyooandika hasa gazeti la chama.
NimeipendaUsiogope na hata hivyo kesho tuna kesi nyingine.
View attachment 448620
Hapo ndipo akili yako inapoishia.Kwahyo jamaa hajagusa papuchi toka apelekwe ndani, daah..!!! Noma sn