Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Inatokea kwenye ndoa nyingi, ambapo unakuta mume anamjali mama yake kuliko mkewe. Kumjali nina maana kwamba, yuko tayari kupinda haki, kumuumiza mkewe, kumchukia na kumfanyia visa kwa sababu ya kumridhisha mama yake.
Kwa mfano, mama kumtukana mke na mume kumwomba mke avumilie tu, mama kusema maneno ya umbeya dhidi ya mke, na mume kuyatilia maanani, mama kumtaka mwanaye amchukie mkewe na mwanaye kufanya hivyo na mengine ya aina hiyo.
Hebu fikiria kwamba hiyo imekutokea wewe. Je ungefanyaje?
Kwa mfano, mama kumtukana mke na mume kumwomba mke avumilie tu, mama kusema maneno ya umbeya dhidi ya mke, na mume kuyatilia maanani, mama kumtaka mwanaye amchukie mkewe na mwanaye kufanya hivyo na mengine ya aina hiyo.
Hebu fikiria kwamba hiyo imekutokea wewe. Je ungefanyaje?