Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Kwenye black market East Africa inaingia nchi ya maziwa na asaliHalafu kuna kitu cha muhimu sikukiweka hapa. Nchi kama Pakistan, Uchina na Saudi Arabia zinaongoza kununua silaha kwenye soko haramu (Black Market). Serikali ya Pakistan ilitengeneza silaha zake za nyuklia kimya kimya bila dunia kujua kwasababu vifaa vyote ilivinunua kwenye soko haramu. Serikali ya India nayo ikafanya hivyo hivyo kutengeneza silaha zake za kinyuklia.
Sasa tukiweka na bajeti inayotumika kununua silaha kwenye soko haramu, basi tunaweza kukuta bajeti ni kubwa zaidi ya hiyo hapo juu...