Ni dhahiri kumekuwa na utofauti mkubwa tu katika hizi taarifa hasa ukifuatilia kuhusu East Africa maana hawa SIPRI kuna kipimo chao huwa wanakitumia katika taarifa zao.
Mfano kuna hizi takwimu hapa za SIPRI zinaonesha kuwa, Kwa mwaka 2017, Tanzania haikufanya manunuzi yeyote yale ya silaha yanayotambulika, huku Kenya na Uganda wakiwa vinara kwa mwaka huo wa 2017 kwa manunuzi ya takriban $13 milioni ambayo ni ya Kenya na $18 milioni kwa Uganda ambaye ndiye aliongoza kwa mwaka huo.
View attachment 1132969