Tumilaujanja
Member
- Jan 7, 2019
- 75
- 15
- Thread starter
- #41
sawa bhan,!!!Kozi gan hiyo ya afya chuo cha kati hakuna essay?
sawa bhan,!!!Kozi gan hiyo ya afya chuo cha kati hakuna essay?
hakuna cha degree wala nini, ni chai mtupu!!Siku hizi vijana mnaingia shule watoto sana, kama digrii yako miaka mitatu mwaka huu unaingia mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ilikuwa unatetea, jamani waache nao wajidai na ugeni wao!!Maajabu ya JF uzi wa leo una 21 uko mwaka wa tatu
Kesho utaleta uzi wa mjukuu wako kupewa mimba akiwa darasa la saba
Kesho kutwa unatafuta wa kukuoa
mimi tena, ama nilichokiandika hukukisemaAsee!
Una matatizo wewe
Ni jambo jema kukufurahisha kuliko kukukasilisha.. Endelea kufutahi kwa ajiri ya muonekano wangu..Hivi unajua nikikufikiria na zile nguo zako na unavyokuwa hivi unanichekesha sana!
Ni jambo jema kukufurahisha kuliko kukukasilisha.. Endelea kufutahi kwa ajiri ya muonekano wangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
nawe piah asante kwa kufurahi maana ungekuwa umechukia ningetafta namna ya kukufurahisha.. Nakuomba tuwe marafki wa kufurahishana!!Asante
nawe piah asante kwa kufurahi maana ungekuwa umechukia ningetafta namna ya kukufurahisha.. Nakuomba tuwe marafki wa kufurahishana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda YukoMaajabu ya JF uzi wa leo una 21 uko mwaka wa tatu
Kesho utaleta uzi wa mjukuu wako kupewa mimba akiwa darasa la saba
Kesho kutwa unatafuta wa kukuoa
afya mzee huk hatunaga essay
Viboko pamoja na kazi ngumuSioni kama kuna sababu ya kukushauri, zaidi ya kuchapwa bakora ili uache mambo ya kijinga....
Labda Yuko
mwaka wa3 VETA