Siaaa NILIWAHI ONGEA yalionikuta ndoani nkaacha KILA KITU2005 ndaniya MWEZIMatatizo makubwa ya ndoa nyingi ni kukosa mawasiliano. Yale mawasiliano mliyotumia kutongozana mpaka mkakubaliana kwanini yasitumike kueleza sababu ya kulala chumba cha watoto au kununua?
Ni wazo zuri ila mwanamke ni kiumbe complex kumwelewa inahitaji miaka 201 ukiwa naye 24/7Matatizo makubwa ya ndoa nyingi ni kukosa mawasiliano. Yale mawasiliano mliyotumia kutongozana mpaka mkakubaliana kwanini yasitumike kueleza sababu ya kulala chumba cha watoto au kununua?
Vile vilikuwa vibomu kama vya pre national 😛 😛 ukiingia NECTA hahaha mambo yanapaaa kule.Matatizo makubwa ya ndoa nyingi ni kukosa mawasiliano. Yale mawasiliano mliyotumia kutongozana mpaka mkakubaliana kwanini yasitumike kueleza sababu ya kulala chumba cha watoto au kununa?
Ndoa zina raha sana mkuu, huyu mleta mada hana mke bali ameoa mke wa watoto...teh[emoji23][emoji23]Ma bruda tuna changamoto zetu ila wanandoa cha moto mnakiona
Wanaume wa hivi hawafai hata kupewa pole, zaidi yatakiwa wapewe adhabu ya viboko ili akili iwakae sama, naama huyu hajui hata nafasi yake kama mume.Poleni sana.
Matatizo makubwa ya ndoa nyingi ni kukosa mawasiliano. Yale mawasiliano mliyotumia kutongozana mpaka mkakubaliana kwanini yasitumike kueleza sababu ya kulala chumba cha watoto au kununa?