haina kweeeere mzuka......sawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yo Yo Tell 'Em...Huyo jamaa yako una uhakika sio wewe? (joking).. Well kama waungwana walivyosema bibie hana nia ya kuwa na jamaa for the rest of her life, huyo jamaa yako aangalie utaratibu mwingine wa kusepa.
Huyo dada ana umri gani?
Jamaa'ngu mmoja ana mchumba'ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba'ke…...
Asikimbilie KUZAA NA MCHUMBA.Jamaangu mmoja ana mchumbake ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa ..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college ..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4 .
mna mshaurije huyu jamaa na mchumbake ...
kwani jamani...inaruhusiwa kuzaa na mchumba wako au mke wako??....nadhani jamaa anapanick upuuzi tuu...wewe huwezi kuzaa na mchumba...anatakiwa azae na mkewe...hapo naona shorty yupo smart...ila kama ungeniambia short hataki kuolewa na kuwa mke kabla hajachukuwa masterz then ningesema mshkaji atafute demu mwingine aoe kisha azae naye
kingine ambacho najaribu kujiuliza...kwani mwanaume ukiwa na 30yrs ndio mwisho wa kuzaa?...au anataka kutuambia kuwa right time ya mwanaume kuzaa ni 30yrs?....
nachokiona hapa ni kuwa dada yetu amakuwa smart kuliko mshkaji ambaye hata mie naona anataka kumzalisha dada yetu bila ndoa kisha aoe mtu mwingine then dada yetu awe na mtoto asiye na malezi ya pande mbili......PATAMU HAPO.
USHAURI.....kijana kama unampenda binti...toa mahari, funga ndoa...then watoto na mipango mingine itakuwa ndani ya ndoa yenu...mkitaka kuzaa watoto 1, 2, 10, 20 etc na mkitaka kuzaa kabla ya masters, au hata baada ya kuwa mawaziri....yooote ni maamuzi yenu wanandoa.....usipende shortcut za mambo serious na maisha ya wenzako,....NI MTAZAMO TU
kama ni mie mbona jibu ninalo tayari......Yoyo anatuyeyusha tu hapa,
hakuna cha jamaa anayetaka kuoa, ni yeye mwenyewe, hata signature yake imesuggest "Goal for 2010 Marriage" sasa anaona 2010 hiyooooo na bibie bado hajamalizia masomo yake. Wajaribu kuelewana japo waoane na wazae baada ya binti kumaliza undergrad.
hell nooYo Yo Tell 'Em...Huyo jamaa yako una uhakika sio wewe? (joking)..
bado yuko njia panda.....ushauri wangu wa kumpiga chini shori naona hausikilizi....nikimwambia basi asubiri miaka mi4 napo hana jibu la moja kwa moja.....ila wakuu shori wake ni mkali haswaaYo Yo vp jamaa ako amechukua uamuzi gani?
bado yuko njia panda.....ushauri wangu wa kumpiga chini shori naona hausikilizi....nikimwambia basi asubiri miaka mi4 napo hana jibu la moja kwa moja.....ila wakuu shori wake ni mkali haswaa
hahhahahahahahaaaa yaaaani weeeee acha tu....................hehehe mpwa hapa umeniacha hoi balaa jaribu kuuliza labda jamaa anapewa mambo yetu yaleee ndo maana anasita kumuacha shori huyo. Vp lakini huyo shori taraabu imo kweli mpwa?
hahhahahahahahaaaa yaaaani weeeee acha tu....................