Balingilaki
Member
- Aug 2, 2008
- 77
- 0
sawa sawa na mie nilimwambia hicho kitu.....shori anasema anataka maisha mazuri yaani akiwa na masters yeye kwake ndio atakuwa na maisha mazuri....wakati jamaa atakuwa keshakuwa kijeba......
......kitu kingine hawa wanawake hawaelewi jambo moja kuwa as siku zinavyozidi kwenda wanazidi kuchoka am sure after masters hatakuwa na mvuto kama alionao sasa hivi....
mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh ebu tuone,masters inasaidia kuzaaa labda