sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Huyu mlinzi wa kaburi la marehemu kiongozi wetu ni mjomba wa Rafiki yangu
Hivi majuzi alikuja likizo kijijini anakwambia anasikitika Sana Kwa kazinanayoifanya
Anasema kazi yake Hana tofauti na mfanya kazi wa mochwari maana ili akeshe lazima
1. Anywe pombe alewe
2.Avute Bangina ashibe
3.Muda wote yeye na walinzi wenzake upiga stori za vifo vifo.
4.wanapokuja watu kuona kaburi wanapo Lia sharti na yeye alie
5.sasa ana mwaka analilinda sura yake imeanza kufanana na marehemu maana kila siku yeye anaangaliana na mabango ya picha za marehemu yaliyobandikwa hapo kuzunguka kaburi
Je alipangwaje kulilinda kaburi la kiongozi?
Anakwambia ni baada ya kuonyeshana misuri na kiongozi mkubwa wa kambi.
Kwa hiyo uko alipelekwa kama adhabu.
Anakwambia aliulizwa baada ya kumuuzi kiongozi wake aliulizwa achague atupwe ukelewe kule ukara au akawe Askari WA kawaida au aende akalinde kaburi?
Jamaa alichagua kwenda kulinda kaburi akidhania yakuwa familia ya marehemu itakuwa inampa msosi kila siku awapo lindoni!lakini ni kinyume chake maana familia ilichukia jinsi mpendwa wao alivyopoteza Maisha.
Nasisitiza kuzaa mtoto ili awe mlinzi wa kaburi la kiongozi ni lahana ikwepe Kwa kuto mzaa
Hivi majuzi alikuja likizo kijijini anakwambia anasikitika Sana Kwa kazinanayoifanya
Anasema kazi yake Hana tofauti na mfanya kazi wa mochwari maana ili akeshe lazima
1. Anywe pombe alewe
2.Avute Bangina ashibe
3.Muda wote yeye na walinzi wenzake upiga stori za vifo vifo.
4.wanapokuja watu kuona kaburi wanapo Lia sharti na yeye alie
5.sasa ana mwaka analilinda sura yake imeanza kufanana na marehemu maana kila siku yeye anaangaliana na mabango ya picha za marehemu yaliyobandikwa hapo kuzunguka kaburi
Je alipangwaje kulilinda kaburi la kiongozi?
Anakwambia ni baada ya kuonyeshana misuri na kiongozi mkubwa wa kambi.
Kwa hiyo uko alipelekwa kama adhabu.
Anakwambia aliulizwa baada ya kumuuzi kiongozi wake aliulizwa achague atupwe ukelewe kule ukara au akawe Askari WA kawaida au aende akalinde kaburi?
Jamaa alichagua kwenda kulinda kaburi akidhania yakuwa familia ya marehemu itakuwa inampa msosi kila siku awapo lindoni!lakini ni kinyume chake maana familia ilichukia jinsi mpendwa wao alivyopoteza Maisha.
Nasisitiza kuzaa mtoto ili awe mlinzi wa kaburi la kiongozi ni lahana ikwepe Kwa kuto mzaa