Anakata mauno kwanza, je yupo sahihi?

Anakata mauno kwanza, je yupo sahihi?

teh teh teh inavutia ingekuwa na video yake....
 
wananiudhi kweli hawa watu kuna mmoja huko analalamika shetani shetani kama ameitwa bwana

Wanataka kufanya majukwaa yote yawe ya dini, kule habari na hoja..dini, ukienda intelligence...dini, ukienda international...dini..

Huku watuwache watu wa mahaba mahabani tupunguze stress....mfyuuuuuuuu zao....!
 
Ustaadh umenidissappoint na hilo jibu lako. Hata sie tuliokua tunataka kuurejea usilamu sasa tunazidi kubaki njiapanda..

Kila mtu na shimo lake babu, kwani utazikwa nae? Kisa cha kumfuatilia hivyo.mwanaume mwenzako? Unamdai?
 
Halafu we mleta mada acha ushamba...

Kule India kama mwanamke hajui kucheza basi haolewi...na ile jioni jioni utakuta mwanaume karelax chumbani, mamsapu anamchezea misongi huku anashushia chai....!
 
Wanataka kufanya majukwaa yote yawe ya dini, kule habari na hoja..dini, ukienda intelligence...dini, ukienda international...dini..

Huku watuwache watu wa mahaba mahabani tupunguze stress....mfyuuuuuuuu zao....!
Dini my dickson....
 
Mkuu, unaonekan unapenda madem wa kichaga, huyo ni Manka lakini kaishi sana Pwani


Pitia pitia clip za baikok anaweza kuw ni mwenzao..
 
Wanataka kufanya majukwaa yote yawe ya dini, kule habari na hoja..dini, ukienda intelligence...dini, ukienda international...dini..

Huku watuwache watu wa mahaba mahabani tupunguze stress....mfyuuuuuuuu zao....!

...mbona matusi yenu hayachagui jukwaa,waacheni nao wavuke na habari ya dini...
 
Halafu we mleta mada acha ushamba...

Kule India kama mwanamke hajui kucheza basi haolewi...na ile jioni jioni utakuta mwanaume karelax chumbani, mamsapu anamchezea misongi huku anashushia chai....!

umenikumbusha wakat flan nliishi nyumba moja ya kupanga wakat niko chuo,kuna ustadh mmoja alikuwa na mke wake bint wa kitanga,ikishafika mida ya saa tatu usiku baada ya mumewe kutoka msikitini bas utasikia vishindo vya mwanamke akimchezea mumewe..
 
Halafu we mleta mada acha ushamba...

Kule India kama mwanamke hajui kucheza basi haolewi...na ile jioni jioni utakuta mwanaume karelax chumbani, mamsapu anamchezea misongi huku anashushia chai....!


Bila shaka wewe ni Toto la kitanga

cc mamaafacebook
 
Last edited by a moderator:
Wanataka kufanya majukwaa yote yawe ya dini, kule habari na hoja..dini, ukienda intelligence...dini, ukienda international...dini..

Huku watuwache watu wa mahaba mahabani tupunguze stress....mfyuuuuuuuu zao....!
A aha ha ha ,na humu tumo mkuu,tumetapakaa kama kirusi.
 
Rekebisha heading kwanza hueleweki!!!
Maalim Abdulhalim Mkalia mafenesi Itafute elimu hata kama ipo China ,hapa ni kutafuta elimu ,watu watatoa nasaha zao,kufuata au kutozifuata ni uwamuzi wa muulizaji,sasa tatizo lipo wapi ? Na kuna msemo usemao ukifika kwenye watuu wanachongo ....!
 
umenikumbusha wakat flan nliishi nyumba moja ya kupanga wakat niko chuo,kuna ustadh mmoja alikuwa na mke wake bint wa kitanga,ikishafika mida ya saa tatu usiku baada ya mumewe kutoka msikitini bas utasikia vishindo vya mwanamke akimchezea mumewe..

Hapo mume hata akute baikoko njianai haiangalii, anaiwahi ya nyumbaniiii....
Namshangaa mleta mada analeta ushamba wake..huo muda alitakiwa arelax anaangalia show huku anasogelea wallet anarusha hela anatunza (anageuka super pedeshee)
 
A aha ha ha ,na humu tumo mkuu,tumetapakaa kama kirusi.

Basi msitufanyie hivyo wenzenu, mkihamia huku mnataka tujifiche wapi? Hili ndo chimbo letu...asilimia kubwa hapa hatuna ndoa tunamkera Mungu tuuu....Msitupatishe dhambi!

au ndo "Fadhakir inna dhikra fatanfaau l muu'minin"...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom