Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,764
Mwenzenu yamenikuta ,huyu demu nashindwa kumuelewa au pengine mimi ni mgeni na mambo haya ,yaani tupo tayari kwa tendo ,aniambia ngoja nikuonyeshe ,nilidhani anaenda kutoa kitu kwenye mkoba wake ,kajifunga kibwebwe na kuanza kukata mauno ,ya kikweli kweli au ndivyo walivyo ?