casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,358
- 2,144
sawa shamba sio mazao tu hata mifugo. iyo kazi inahitaji awe active 24/7 sasa kwa umri huo hata machine apo inaelekea kuisha muda wake wa matumizi. labda kama atakuwa msimamizi kuna watu chini wanafanya izo kazi.Mkuu rejea post yangu, si kwamba atakuwa anafanya kazi za shamba, la hasha; ila atakuwa mwangalizi na aweze kufanya shughuli ndogondogo kama kulisha kuku na mbuzi.