Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Habari, Mimi ni kijana mpambanaji
Nahitaji kijana ambae ataweza kukaa shambani kwa ajili ya uangalizi wa shamba na mifugo jamii ya ndege kama kuku ,bata na kanga,
Shamba lina nyumba ina solar power
Kuna mabanda ya kuku
Mazao ambayo yapo tayari ni machungwa
Lina ukubwa wa ekari tano
Na pia kuna eneo kwa ajili ya kilimo cha mahindi, mboga mboga
Na pia kuna miche ya michungwa
MAJUKUMU YA KIJANA
Kuangalia ulinzi wa mali ambazo zipo shambani
Kusimamia vibarua ambao wanakuja kwa muda wa msimu wa kilimo na kuondoka
Kuangalia na kuhudumia miche ya limao na michungwa
SIFA ZA KIJANA
Hatuhitaji kijana ambae ana taaluma ya chuoni, kwani hakuna uwezo wa kulipa professional
Umri kuanzia miaka 20 ‐ 35
Jinsia ya kiume
Muaminifu
Motisha kijana
Kijana kama hana mke atatafutiwa mke na kufungishwa ndoa kwa Gharama yangu ili akae nae shambani
atafungiwa king'amuzi akipendacho kati ya Azam au StarTimes na malipo ya kila mwezi kwa kifurushi cha cha kati yaani kama ni Azam 25000 kama ni StarTimes 23000
Matibabu yeye na familia yake kwa magonjwa yasio sugu
Chakula ni kwa mwaka mzima na cha kushiba
Kabla ya kuja Eneo la kazi atatembelewa kwenye familia yake kwa ajili ya kufahamiana Zaidi na pia tutamchukua ndugu yake mmoja aje apafahamu anapokaa ndugu yake
MALIPO
Hakuna malipo ya mwezi bali atapata 10% ya kila kitu ambacho kitauzwa
LOCATION
MUHEZA TANGA
kama atatokea maeneo ya jirani itakua bora Zaidi
Asanteni
Nahitaji kijana ambae ataweza kukaa shambani kwa ajili ya uangalizi wa shamba na mifugo jamii ya ndege kama kuku ,bata na kanga,
Shamba lina nyumba ina solar power
Kuna mabanda ya kuku
Mazao ambayo yapo tayari ni machungwa
Lina ukubwa wa ekari tano
Na pia kuna eneo kwa ajili ya kilimo cha mahindi, mboga mboga
Na pia kuna miche ya michungwa
MAJUKUMU YA KIJANA
Kuangalia ulinzi wa mali ambazo zipo shambani
Kusimamia vibarua ambao wanakuja kwa muda wa msimu wa kilimo na kuondoka
Kuangalia na kuhudumia miche ya limao na michungwa
SIFA ZA KIJANA
Hatuhitaji kijana ambae ana taaluma ya chuoni, kwani hakuna uwezo wa kulipa professional
Umri kuanzia miaka 20 ‐ 35
Jinsia ya kiume
Muaminifu
Motisha kijana
Kijana kama hana mke atatafutiwa mke na kufungishwa ndoa kwa Gharama yangu ili akae nae shambani
atafungiwa king'amuzi akipendacho kati ya Azam au StarTimes na malipo ya kila mwezi kwa kifurushi cha cha kati yaani kama ni Azam 25000 kama ni StarTimes 23000
Matibabu yeye na familia yake kwa magonjwa yasio sugu
Chakula ni kwa mwaka mzima na cha kushiba
Kabla ya kuja Eneo la kazi atatembelewa kwenye familia yake kwa ajili ya kufahamiana Zaidi na pia tutamchukua ndugu yake mmoja aje apafahamu anapokaa ndugu yake
MALIPO
Hakuna malipo ya mwezi bali atapata 10% ya kila kitu ambacho kitauzwa
LOCATION
MUHEZA TANGA
kama atatokea maeneo ya jirani itakua bora Zaidi
Asanteni