Anahitaji Mzee wa Makamo (Mwanaume) kwa ajili ya Kukaa Shambani

Ntu

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
951
552
Wakuu Natumaini Mu-wazima.

Kama Kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, nahitaji mzee wa makamo (ningependa kumpata wale wasio na makazi (ambao wanaishi kwenye vituo vya kulea wazee)).

Sifa;
-Awe Mwaminifu
-Asiwe mlevi
-Ajue kusoma na kuandika.
-Awe anajua mambo ya kilimo.
-Aweze kuhudumia mifugo (kuku & Mbuzi).

-Aweze kusimamia wafanyakazi shambani.
-Awe na afya njema.
-Awe mtu mwenye kujituma mwenyewe, asiwe wakusubiri aambiwe afanye nini.

Huduma nitakazompatia;
-Nitawajibika akiumwa.
-Chakula, malazi na matumizi yote yatakuwa juu yangu.
-Atapata hela za matumizi yake binafsi (kila mwezi).
-Nitamkatia tiketi (basi) ya kuja, pamoja na chakula njiani.

Utambulisho;
-Aje na barua ya utambulisho kutoka ofisi ya mtendaji wa kata/kijiji (iwe na muhuri na namba za simu za kiongozi husika).

Kituo cha kazi;
Arusha (Arumeru - Mashariki)

Ni PM kama unamjua mtu mwenye sifa tajwa hapo juu.
 
Wakuu Natumaini Mu-wazima.

Kama Kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, nahitaji mzee wa makamo (ningependa kumpata wale wasio na makazi (ambao wanaishi kwenye vituo vya kulea wazee)).

Sifa;
-Awe Mwaminifu
-Asiwe mlevi
-Ajue kusoma na kuandika.
-Awe anajua mambo ya kilimo.
-Aweze kuhudumia mifugo (kuku & Mbuzi).

-Aweze kusimamia wafanyakazi shambani.
-Awe na afya njema.
-Awe mtu mwenye kujituma mwenyewe, asiwe wakusubiri aambiwe afanye nini.

Huduma nitakazompatia;
-Nitawajibika akiumwa.
-Chakula, malazi na matumizi yote yatakuwa juu yangu.
-Atapata hela za matumizi yake binafsi (kila mwezi).
-Nitamkatia tiketi (basi) ya kuja, pamoja na chakula njiani.

Utambulisho;
-Aje na barua ya utambulisho kutoka ofisi ya mtendaji wa kata/kijiji (iwe na muhuri na namba za simu za kiongozi husika).

Kituo cha kazi;
Arusha (Arumeru - Mashariki)

Ni PM kama unamjua mtu mwenye sifa tajwa hapo juu.
Msaada wandugu....
 
Mkuu vijana wasumbufu sana, mtu mzima hanausumbufu wowote, kama unamjua yeyeto yule mwenye sifa tajwa hapo juu, plse mkuu usisite kuni-PM
Sio kila kijana ni msumbufu kuna vijana wastaarabu huwezi kuwalinganisha na wazee.
 
Labda umuweke mzee wako, mzee gani 55 akahangaike na mijikazi ya vijana hiyo,chukua mtu 30's huko awajibike kwa matakwa yako.. Wacha balaa blaa
 
Wakuu Natumaini Mu-wazima.

Kama Kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, nahitaji mzee wa makamo (ningependa kumpata wale wasio na makazi (ambao wanaishi kwenye vituo vya kulea wazee)).

Sifa;
-Awe Mwaminifu
-Asiwe mlevi
-Ajue kusoma na kuandika.
-Awe anajua mambo ya kilimo.
-Aweze kuhudumia mifugo (kuku & Mbuzi).

-Aweze kusimamia wafanyakazi shambani.
-Awe na afya njema.
-Awe mtu mwenye kujituma mwenyewe, asiwe wakusubiri aambiwe afanye nini.

Huduma nitakazompatia;
-Nitawajibika akiumwa.
-Chakula, malazi na matumizi yote yatakuwa juu yangu.
-Atapata hela za matumizi yake binafsi (kila mwezi).
-Nitamkatia tiketi (basi) ya kuja, pamoja na chakula njiani.

Utambulisho;
-Aje na barua ya utambulisho kutoka ofisi ya mtendaji wa kata/kijiji (iwe na muhuri na namba za simu za kiongozi husika).

Kituo cha kazi;
Arusha (Arumeru - Mashariki)

Ni PM kama unamjua mtu mwenye sifa tajwa hapo juu.
Kama kuna kipande cha ardhi (eka moja +) cha mimi kuweza kuweka mazao yangu ya bustani, niko tayari kuja (kijana wa miaka 64).
 
kwa umri huo bado atakuwa na nguvu ya kuzalisha na mikikimikiki ya shamba?
Mkuu rejea post yangu, si kwamba atakuwa anafanya kazi za shamba, la hasha; ila atakuwa mwangalizi na aweze kufanya shughuli ndogondogo kama kulisha kuku na mbuzi.
 
Back
Top Bottom