Anahitaji kujitolea kufundisha somo la Book-keeping na Commerce

Anahitaji kujitolea kufundisha somo la Book-keeping na Commerce

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,651
Kwa wale vijana ambao mmemaliza chuo lakini bado hawajapata issue ila wanatafuta nafasi kujishikiza kuliko kukaa nyumbani wanicheki.

Kuhusu malipo hakuna mshahara ila pesa ya kujikimu MIPANGO midogo midogo kama program za jumamosi,REMIDIAL CLASSES NA posho ndogo ndogo za hapa na pale zipo ambapo kwa mwezi ukijumlisha vyote huwezi kukosa laki tatu hadi nne

Kuhusu sifa unatakiwa uwe umesoma ualimu uliojikita kwenye BK NA COMMERCE.

Kuhusu shule ipo dar
 
Mimi sijasoma ayo ualimu ila nilisoma ayo masomo katika olevel yng kwahyo kama mnaweza niamini nipeni . Chuo nimesoma bachelor of insurance and Risk managment
0762408926
 
Back
Top Bottom