Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Smile Mdogo wangu, reference yake ni wababa wa Kiswahili wanywa gahawa na sio kaka zangu wa Sikonge, Nzega, Ndala, Urambo ni full kujituma; muda wa majungu wautoe wapi?

Unawaonaje wachache waliomo humu jamvini?
mi siwajui wa huku ila mama yangu aliniachia wosia nitafute mnyamwezi hebu nitajie wa humu jamvini nianze kuwafukuzia dear
 
Ingawa kuna jamii za vikombe mbali mbali lakini vina tofautiana ujazo na uimara wake kutokana na matumizi yake na malighafi zilizotumika kutengeneza kikombe hicho. Kila kikombe kina sifa zake binafsi kutokana na matumizi yake, nunua kutokana na matumizi yako............kikombe cha kahawa hawanywei maji!!:confused2::confused2:
 
Kabla ya yote,nisisitize 'KILA MTU NA TABIA YAKE''

Hawa watu nimeishi nao sana,tena uzuri vijijini kule waliko wale pure.

Hawa watu ni wakarimu sana,kwa nje. Wanajua kukusalimia unaweza toa pin za bank jus how they speak.
Wanapenda mikorogo,wanaamini weupe dili.
Wabinafsi,ukioa usipokuwa na akili ujue kwenu hata chumvi hutumi,na ukioa usikae kwao hama mkoa.
WANAPENDA SANA,SAANA USHIRIKINA, yaani hata asipokufanyia wewe hata nduguze watakuweka sawa for yeye maana wanapendana ndugu sana,na kukupuliza ni sekunde esp wakiona hueleweki..! Yaani wao kitu kidogo lazima wamulike x-ray inasemaje kwa babu!!!

Nahii ndo sababu kwao kule vichaa ni wengi mno na wanaongezeka daily!!!maana ukiiba cha mtu,unalo!! Na hii inawafanya

Wanapenda,ila multi kwa sana..lazima figa 3!!
 
Hawatulii na mwanamume mmoja ni wanawake wa mafiga matatu, kwa limbwata ndo wenyewe na pia kama limbwata halikamatiki kwako basi wanakudedisha.Lakini tofauti na hayo Wanyamwezi ni miongoni mwa makabila yanayojua mapenzi hapa Tanzania, mimi nashangaa watu wanasifia eti Tanga kwangu mimi mwanamke wa Kinyamwezi ni nambari one kwa mapenzi sema sasa issue ni hayo matatizo yake ya hapo juu maana mwanamume hakohoi kwa mke wa Kinyamwezi

Mkuu umewachambua vizuri sana,pia hayo mafiga mengine lazima yapate approval toka kwa mama mkwe.
Ila tabia hiyo si kwa wote na imeanza kupungua sana kwa hiyo mdau kama ameridhika na tabia binafsi ya huyo dada amuoe kwani ni wacheshi,wanajua mahaba na kwenye mapishi kila anachopika lazima ujirambe!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Smile ,

Wewe mwenyewe unanifahamu hapa JF. Ninaonekana kweli mtu wa Majungu?

Unajua siyo kila mtu wa Tabora ni Mnyamwezi. Kama huyu Rage wa Simba au Juma Kapuya wale si Wanyamwezi bana.

Tabora mjini ilikuwa KAMBI ya Wasafiri (hasa biashara ya Utumwa) na walikuwa wakifika hapo wanakula Matobolwa (Big G za Kinamwezi). Hivyo ndivyo mji ulivyoanza kukua na hadi leo, watu WAKUJA hasa Tabora mjini ni wengi kuzidi wenyeji. Amini usiamini, Wanyamwezi wengi hawajajengwa kwao. But this have started to change now - They are coming back.
Sikonge NA Kaunga naombeni ushahidi hapa
 
Last edited by a moderator:
Naona umechanganya na WAFIPA siyo Wanyamwezi.

Na hii ya kusahau kwenu, hao watakuwa Wamachame na watu wa Tanga . Wamachame wao wanauwa kabisa waume zao ila siyo Wanawake wa Kinyamwezi bana, acha hiyoooo....
Kabla ya yote,nisisitize 'KILA MTU NA TABIA YAKE''

Hawa watu nimeishi nao sana,tena uzuri vijijini kule waliko wale pure.

Hawa watu ni wakarimu sana,kwa nje. Wanajua kukusalimia unaweza toa pin za bank jus how they speak.
Wanapenda mikorogo,wanaamini weupe dili.
Wabinafsi,ukioa usipokuwa na akili ujue kwenu hata chumvi hutumi,na ukioa usikae kwao hama mkoa.
WANAPENDA SANA,SAANA USHIRIKINA, yaani hata asipokufanyia wewe hata nduguze watakuweka sawa for yeye maana wanapendana ndugu sana,na kukupuliza ni sekunde esp wakiona hueleweki..! Yaani wao kitu kidogo lazima wamulike x-ray inasemaje kwa babu!!!

Nahii ndo sababu kwao kule vichaa ni wengi mno na wanaongezeka daily!!!maana ukiiba cha mtu,unalo!! Na hii inawafanya

Wanapenda,ila multi kwa sana..lazima figa 3!!
 
Nimeshajibu kuwa Tabora Mjini kumejaa watu wa Ujiji na Makabila mengine ya Pwani. Miaka ya 90 walivamia Wachaga kwa wingi. Kwa ufupi, Tabora mjini, Wanyamwezi wachache sana. Sasa sifa zao zisiwe za Wanyamwezi. Wee unaona mie kuwa Mfitini, Mswahili ........ Acha bana hizo.
Wanaume wa Kinyamwezi wengi ni watu wa majungu majungu tu iwe makazini na hata majumbani ni majungu,fitina na zaidi wamejaa uswahili hasa Wanyamwezi walioko mijini. Zaidi wanaume wa Kinyamwezi wanasifika kwa kuwa wapole kwa wake zao lakini wanapokuwa nje ya nyumbani nao ni mafirauni tu.Lakini sifa kubwa ya mwanaume wa Kinyamwezi ni majungu, majungu,majungu,fitina na zaidi wamejaa uswahili mwingi na hawajiamini amini hata kama uwape post kubwa hawajiamini inabidi wakapige ramri
 
Wale wale, Tabora mjini imejaa WAKUJA na si WANYAMWEZI. Wee umepiga Waha wa Ujiji waliojaa kibao hapo mjini. Kama si hao basi Wakimbizi wa Kitusi wanaojibadili majina na kuwa na ya Kinyamwezi. Waswahili wa Pwani nao kibao ndiyo maana wanagawa kama pipi watoto wao. Angalia usije kuwa ulizaa na nduguyo, mtu wa Pwani weee.....
Nimewapiga sana watoto wa kinyamwezi enzi nasoma pale Mirambo High School , kule tena wale wa bachu kule na kanyenye na ivi kuna mashombe shombe kutoka Itobo nimewachapa nao hadi nimeacha katoto kamoja kule, sasa ivi kapo chekechea. Kwa utamu ni watamu
 
mi siwajui wa huku ila mama yangu aliniachia wosia nitafute mnyamwezi hebu nitajie wa humu jamvini nianze kuwafukuzia dear

NitakuPM kesho, ila kwa kuanzia kuna The Boss, KIKUNGU, Fighter, na wengine wengi kwa wadada namjua mmoja tu anaitwa Mwasi.

Mama yako knows better; wasikudanganye hao ila make sure unapata kwenye asili ya unywamwezini kweli sio wa Tabora mjini, maana hata waburushi wanajiita wanyamwezi.
 
Last edited by a moderator:
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa

We we we we! Shika adabu yako, yaani kuwe na mtu atakae TUJUA wanyamwezi wote?!!!?? Au hujui maana ya kujua? King'asti, nafahamu wewe ni Mlutheri. Hebu njoo nifundishie huyu mtu. Halafu anapanga kuwa shemeji yangu!
 
Dada mmoja Mzenji aliusiwa hivyo hivyo na Mama yake. Nilipomuona nikataka kumchangamkia wakanionya kuwa huyo anataka Mnyamwezi wa kumuowa. Tatizo ndiyo nilikuwa Ujana unaaza, nikamkimbia. Akaja Ngosha mmoja wa pande kama unaenda Nzega akachukua kikwelikweli. Nafikiri hadi leo wapo pamoja........ Wanyamwezi tukigundua tumependwa, tunaowa haraka sana. Ila mie nilisita kwa sababu mbili kuwa "ataolewa na mie kwa Mapenzi au Unyamwezi wangu....?" na ya pili ni hiyo ya kujiingiza kwenye jela ya ndoa nikiwa bado mdogo na sijacheza mechi za kutosha.....
mi siwajui wa huku ila mama yangu aliniachia wosia nitafute mnyamwezi hebu nitajie wa humu jamvini nianze kuwafukuzia dear
 
We we we we! Shika adabu yako, yaani kuwe na mtu atakae TUJUA wanyamwezi wote?!!!?? Au hujui maana ya kujua? King'asti, nafahamu wewe ni Mlutheri. Hebu njoo nifundishie huyu mtu. Halafu anapanga kuwa shemeji yangu!

Smile, kaka yangu mwingine huyu hapa! LOL
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye RED, daahhh umeniacha hoi. Nafikiri jamaa ataona sababu ya kuowa kwa Wanyamwezi maana Wacheshi na Wachangamfu sana. Ukiwa na Wanyamwezi hakuna kununa.
Hahaha
Huyo ndio kaka yangu miye, wengine wote ni JPEG imagies! LOL

Nami dada yako nimeubeba chini ya mgongo, na miguu ya kubebea ipo!
 
Hahaha
Huyo ndio kaka yangu miye, wengine wote ni JPEG imagies! LOL

Nami dada yako nimeubeba chini ya mgongo, na miguu ya kubebea ipo!

Ilumbuye Kaunga wape vidonge vyao...............wakaka tunamizigo ya mbele.............wadada wameibeba chini ya mgongo sasa wachague wenyewe..............kuna msemo unasema ....mzigo mzito mpe mnyamwezi
 
Hapo kwenye RED, daahhh umeniacha hoi. Nafikiri jamaa ataona sababu ya kuowa kwa Wanyamwezi maana Wacheshi na Wachangamfu sana. Ukiwa na Wanyamwezi hakuna kununa.

Shemeji yetu asiposikiliza maneno ya watu ataenjoy, na theirs will be the love of the town!
 
Ilumbuye Kaunga wape vidonge vyao...............wakaka tunamizigo ya mbele.............wadada wameibeba chini ya mgongo sasa wachague wenyewe..............kuna msemo unasema ....mzigo mzito mpe mnyamwezi

Smile ameachiwa usia na mama yake, the right man for her ni Mnyamwezi, so mshindwe wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom