Anadhani aki-post atanishtua

umri wako tafadhar !!??
 
Mkuu we ungefanyajee
 
Tatizo moyo kaka, afu tabia za mke kabisa.

Dogo alikuwa ananambia Hadi habari za bible ananambia nisome bible, kifupi mtoto mzuri.
we ndo unateseka kuhusu yeye alaf unawabishia wakulungwa huteseki, ni wazi kabisa unampenda yeye kuliko yeye kukupenda wewe na ameshajua hilo.

Hapo ulipo unatamani sana akutafute, na pia unatamani sana kumtumia ata sms lakini unaona kama utakua umejishusha sana
yani unajidai kukaza kumbe unamtaka.
 
Kukaza muhimuu mkuu ntazoea mbona huko nyuma tulikaushiana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…