TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Ni
Hermaphrodite tu ndiye Anayevaa Pink!Hizi shule sijui mnasoma nini nyie wehu mkuu wa mko
Serikali na viongozi wake wasio na elimu kichwani wala utaalamu wanahangaika sana na swala la elimu wakati tatizo ni mifumo yao ya elimu ni mibovu watawaonea sana tena sana hao walimu kwakweli wakat kosa ni lakwao wao.
Mbona jeshi la polisi linafanya vibaya mauaji kila siku yasiyo koma hajawasema ?? Ukiwa mtupu kichwani hakika hata tafakari hunyimwa